Im Sorry Wakuu!

TANMO

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2008
Posts
11,763
Reaction score
11,873
Waungwana, nawaomba radhi kwa Posti yangu niliyoiweka asubuhi ya leo kwa mategemeo kuwa mtaichukulia kama utani wa kawaida bila kujua kuwa itawachefua baadhi yenu.

Pia bila kinyongo nawashukuru MOD's kwa uamuzi wa kuiondoa ile Post.

Mbarikiwe sana.
 
Last edited:
nakubaliana nawe ndugu.2ko pamoja infact mods wana jukumu kubwa sababu hata mie nimejipata katika hali yako mara c chache mkuu.thats y its home of the great thinkers.thanks u mods.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…