Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
dah!! sijui mchawi wangu ni nani ,
nikimwandikiaga tu huyu mtoto ana log off,
au hapendi ma-saint nini? inabidi nianze kumtafuta mchawi
wewe binti nakutafuta sana
huonekani kabisa
nimekutafuta hadi nataka kulia
jinsi nilivyoimiss mistari yako
kuna katuni mmoja anaitwa klorikwini
anapenda kuchekesha chekesha
basi nikajua amesha kubeba
.... bora nimekuona
kwanza hii kitu hapo down unatumiaga?
mmhh Ivunga
bwana na we unajua kunitamanisha
naona umenichagulia kitu roho yangu
yapenda kabisa dear.. Nway mimi nipo
Mpen... mmmhh malizia mwenyewe
Na usijali kabisa sinto kaa nikukimbie
maishani mwangu naomba usisahau
"mimi na wewe ni kitu kimoja" hahaha lol
hayaa mtoto mzuri lala salama aeee....
mmmwaaaahhhhhhh:couch2: