Kakuzidi yani 🤣🤣🤣Unakuja kwa Kasi sana.....
We are fed up of your nonsense....How?
Hahahaha wallah Tena kanizidi🤣🤣Kakuzidi yani 🤣🤣🤣
My bad... take easy jus kiddin...🤣🤣Ohh
So sorry
Mvumilie bana we mbona tulikuvumilia habari za ndoa yako, na tukawa bega kwa bega na uchizi wako 🤣🤣🤣We are fed up of us your nonsense....
Najua! Lakini naona unajiendekeza na hayo maumivuUnajua kupenda?
Uko wapi?Majentromen wa humu ndani hebu fanyeni jambo, mtoto anautaka huyu....
Hamuoni anavomwaga chozi mbele yenu au dharau tu.