TuntemekeSanga
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 1,346
- 862
Hapa Tanzania kuna vuguvugu nyingi za baadhi ya makundi na vyama kutaka kuiangusha CCM na kuweka Vyama Pinzani kwa madai ya kuleta mabadiliko ya mtu/mwananchi wa kawaida na maendeleo mengine kwa ujumla wake.
Je; ninyi mliothubutu kufanya hivyo, mmefikia malengo yenu kwa kiasi gani?(ninyi kama wananchi wa kawaida).
Je; mnadhani mngeendelea kuipigia kelele KANU na kupambana kwa kushirikiana na Viongozi wa KANU ingesaidia na ingekuwa bora zaid kuliko kubadilisha Chama na kuikabidhi nchi kwa Wapinzani?
After that, i would like you comment in "Swahili" rather than English as there have been some Tanzanians visiting your Forum and get troubled with English.
Asanteni sana.
Je; ninyi mliothubutu kufanya hivyo, mmefikia malengo yenu kwa kiasi gani?(ninyi kama wananchi wa kawaida).
Je; mnadhani mngeendelea kuipigia kelele KANU na kupambana kwa kushirikiana na Viongozi wa KANU ingesaidia na ingekuwa bora zaid kuliko kubadilisha Chama na kuikabidhi nchi kwa Wapinzani?
After that, i would like you comment in "Swahili" rather than English as there have been some Tanzanians visiting your Forum and get troubled with English.
Asanteni sana.