Imagination - My Encounter with Super Lady in JF

Hivyo viiambata vyote ulivyotaja hapo juu I do qualify my dear. Ok take me now!
 


Cool . . . Mama huyu hapa na Threads zake:

 
LOL..hizo mada za Penny ni moto wa kuotea mbali...gademu
 
Ok.

These are Penny's threads . . . LOL



Belinda is JF's sports Lady.

Womenofsubstance is JF's justice Lady.

Mwafrika wa Kike is JF Super Lady.

Penny always thinks of love and love affairs. May be she is JF's Lady of Love affairs.
 
Wee superman mambo gani tena unaanza kusarua watu ch*p* hadharani bwanaaaaa! Kwani wewe shida yako nini mpaka unanika topics zetu humu...wewe kama unatafuta kimada siuende kwenye blogs husika! Umeniudhi bwana and you spoiled ma´day.

Penny my Sister;

Pole kama umechukia. Ni kwa nia nzuri tu.

Si unajua Threads zote zimo jamvini na zinapatikana tu.

I know you are good, so dont worry. And, sitafuti Kimada wala.
 
Belinda is JF's sports Lady.

Womenofsubstance is JF's justice Lady.

Mwafrika wa Kike is JF Super Lady.

Penny always thinks of love and love affairs. May be she is JF's Lady of Love affairs.
Hapa umelonga wangu, yani with all my heart am ready for the chair. Tena tanzania inabidi ianzishewe Ministry of Love affairs (MLA)...lakini wapi naweza kwenda kusomea kwa ajili ya cheti jama...kipawa ninacho tena cha hali ya juu.
 
Penny my Sister;

Pole kama umechukia. Ni kwa nia nzuri tu.

Si unajua Threads zote zimo jamvini na zinapatikana tu.

I know you are good, so dont worry. And, sitafuti Kimada wala.
Ok my dear, nimekuelewa babangu...siunajua tena uchovu wa siku. Kila la kheri katika shughuli yako unayotaka kuifanya.
 
Hapa umelonga wangu, yani with all my heart am ready for the chair. Tena tanzania inabidi ianzishewe Ministry of Love affairs (MLA)...lakini wapi naweza kwenda kusomea kwa ajili ya cheti jama...kipawa ninacho tena cha hali ya juu.


Penny, nafurahi umekubali kwa moyo mkunjufu kuwa wewe ni JF lady of Love affairs.
Wenye matatizo watawasiliana nawe, lol!
 
Bimkubwa....should definitely be in the list

Ila binafsi Mwafrika Wa Kike hana mpinzani
 


Kisura huyu hapa na Threads zake:

 
Hapa umelonga wangu, yani with all my heart am ready for the chair. Tena tanzania inabidi ianzishewe Ministry of Love affairs (MLA)...lakini wapi naweza kwenda kusomea kwa ajili ya cheti jama...kipawa ninacho tena cha hali ya juu.

Jifagilie Shosti maana u deserve it.
 
Penny, nafurahi umekubali kwa moyo mkunjufu kuwa wewe ni JF lady of Love affairs. Wenye matatizo watawasiliana nawe, lol!
Nawakaribisha wote, wasiwe na wasiwasi siri zao za ndani nitaziifadhi kwa hali ya juu sana kama ninavyo hifadhi p***y yangu.
 
Jifagilie Shosti maana u deserve it.

Siunajua tena mummy wangu, ndo mafungu yanaanza kupaliliwa hivyo ati. Mzamza hivi hivi ukanikuta ikulu JK akiniungamisha na biblia kuwa The Minister of Ministry of Love Affairs (MLA) 2010. Tanzania inapanuka ati!.
 
Nyani Ngabu; Bi Mkubwa huyu hapa chini na Threads zake:

Me and Bimkubwa go way back when..I know what she's capable of and I'm sure my friend Raj Patel aka The Truth can vouch for me..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…