Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Daaah nimeitazama Simba yangu Jana nimesikitika sana siku mzima Kwa wachezaji wapya na uchezaji wao
Kwa kweli hawa wachezaji tumepigwa. Wachezaji hawa ni wabovu hawawezi kutoboa Kwa mechi za mikoani japo mnaweza msinielewe ila tutaonana kwenye ligi.
Ushauri:
Tunaomba TFF itufungulie dirisha letu la usajili wanasimba tusajili quality players.
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kwa kweli hawa wachezaji tumepigwa. Wachezaji hawa ni wabovu hawawezi kutoboa Kwa mechi za mikoani japo mnaweza msinielewe ila tutaonana kwenye ligi.
Ushauri:
Tunaomba TFF itufungulie dirisha letu la usajili wanasimba tusajili quality players.
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app