Imagine Simba hii ikikutana na Yanga naona mnara utasoma tena

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Daaah nimeitazama Simba yangu Jana nimesikitika sana siku mzima Kwa wachezaji wapya na uchezaji wao

Kwa kweli hawa wachezaji tumepigwa. Wachezaji hawa ni wabovu hawawezi kutoboa Kwa mechi za mikoani japo mnaweza msinielewe ila tutaonana kwenye ligi.

Ushauri:
Tunaomba TFF itufungulie dirisha letu la usajili wanasimba tusajili quality players.


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Simba yako Tangu lini Mkuu? Wewe na Simba wapi na wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…