Imagine watu wanachati asubuhi asubuhi acheni uvivu Watanzania

Imagine watu wanachati asubuhi asubuhi acheni uvivu Watanzania

Mzee wa kusawazisha

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2016
Posts
1,601
Reaction score
1,172
Hivi how is it possible; watu asubui asubui mnaamukia mitandao ya jamii hivi hamna mishe? At least watu watiririke humu kuanzia sa saba mchana hivi, it will make makes sense. Otherwise it's nonsense kabisa tufanyie kazi.
 
Hivi how is it possible; watu asubui asubui mnaamukia mitandao ya jamii hivi hamna mishe? At least watu watiririke humu kuanzia sa saba mchana hivi, it will make makes sense. Otherwise it's nonsense kabisa tufanyie kazi.
hapa wewe uko wapi na unafanya nini? ndiyo hayo hayo ya hii kitu watu wanatetea ujinga. Uko sahihi...



View: https://youtu.be/kFD_yJvqeGE
 
Hivi how is it possible; watu asubui asubui mnaamukia mitandao ya jamii hivi hamna mishe? At least watu watiririke humu kuanzia sa saba mchana hivi, it will make makes sense. Otherwise it's nonsense kabisa tufanyie kazi.
Kiteto bado hakujakucha,kwanza tunalima huku tuko JF.
 
Hivi how is it possible; watu asubui asubui mnaamukia mitandao ya jamii hivi hamna mishe? At least watu watiririke humu kuanzia sa saba mchana hivi, it will make makes sense. Otherwise it's nonsense kabisa tufanyie kazi.
Hata wewe mwenyewe kwanini hukutoa shauri lako kuanzia saa saba hivi mchana, it would make sence. Otherwise it's nosense kabisa, Don't you think so ?
 
Hivi how is it possible; watu asubui asubui mnaamukia mitandao ya jamii hivi hamna mishe? At least watu watiririke humu kuanzia sa saba mchana hivi, it will make makes sense. Otherwise it's nonsense kabisa tufanyie kazi.
Mtoa mada utakuwa na tatizo upstairs. Siyo bure.
 
Dogo naona unatafuta kiki kama pikipiki 😂😂😂😂 tulia Kijana wengine tunatrade ndo kazi yetu kubwa
 
Back
Top Bottom