Imani Na Uhuru Wa Dini

Imani Na Uhuru Wa Dini

Laizer Peter

Senior Member
Joined
Feb 19, 2013
Posts
130
Reaction score
24
Wadau Em Nisaidieni kwa hili coz KATIBA Niliyonayo mimi hapa MAMBO YA IMANI NA UHURU WA DINI Yamezungumziwa Ktk Ibara Ya 40 (1) nakuendelea.Sasa hapa kuna utata coz wengne wanasema mambo ya IMANI NA UHURU WA DINI Ipo ktk Ibara Ya 41.
 
Wadau Em Nisaidieni kwa hili coz KATIBA Niliyonayo mimi hapa MAMBO YA IMANI NA UHURU WA DINI Yamezungumziwa Ktk Ibara Ya 40 (1) nakuendelea.Sasa hapa kuna utata coz wengne wanasema mambo ya IMANI NA UHURU WA DINI Ipo ktk Ibara Ya 41.

Jamani nasisitiza kwamba tusiwadanganye na kuwapotosha watu na wasomaji wetu wa JF hapa, ukweli ni kwamba kuhusu suala la Uhuru wa imani ya dini, suala hili lipo Ibara ya 41.-(1) Kila mtu ana uhuru wa mawazo, dhamiri, imani na uchaguzi katika mambo ya imani ya dini na anao uhuru pia wa kubadilisha dini, imani yake au kutokuwa na imani na dini…………………. Wakati Ibara ya 40 ya Katiba Inayopendekezwa kuhusu Uhuru wa habari na vyombo vya habari; (1) Kila mtu ana haki na uhuru wa: (a) kutafuta, kupata, kutumia na kusambaza habari na taarifa sahihi; na (b) kuanzisha vyombo vya habari na njia nyingine za upashanaji wa habari…………………."
 
Jamani nasisitiza kwamba tusiwadanganye na kuwapotosha watu na wasomaji wetu wa JF hapa, ukweli ni kwamba kuhusu suala la Uhuru wa imani ya dini, suala hili lipo Ibara ya 41.-(1) Kila mtu ana uhuru wa mawazo, dhamiri, imani na uchaguzi katika mambo ya imani ya dini na anao uhuru pia wa kubadilisha dini, imani yake au kutokuwa na imani na dini…………………. Wakati Ibara ya 40 ya Katiba Inayopendekezwa kuhusu Uhuru wa habari na vyombo vya habari; (1) Kila mtu ana haki na uhuru wa: (a) kutafuta, kupata, kutumia na kusambaza habari na taarifa sahihi; na (b) kuanzisha vyombo vya habari na njia nyingine za upashanaji wa habari…………………."


Sasa hii katiba yangu ni ya wapi maana huo uhuru wa vyombo vya Habari ipo ktk ibara ya 39

em weka link ya iyo katiba yako hapa nii download
thanks
 
Sasa hii katiba yangu ni ya wapi maana huo uhuru wa vyombo vya Habari ipo ktk ibara ya 39

em weka link ya iyo katiba yako hapa nii download
thanks

Ndugu yangu ndo maana watu wanakusema kama huelewi mbona iko wazi wazi wewe hiyo yako umeipata wapi? usipende kupotosha watu humu ndani tafadhali, haya hiyo hapo chini download...
View attachment 239442
 
Wadau Em Nisaidieni kwa hili coz KATIBA Niliyonayo mimi hapa MAMBO YA IMANI NA UHURU WA DINI Yamezungumziwa Ktk Ibara Ya 40 (1) nakuendelea.Sasa hapa kuna utata coz wengne wanasema mambo ya IMANI NA UHURU WA DINI Ipo ktk Ibara Ya 41.
Tusipotoshe jamani kama hujajipanga ni vzr ukaa kwanz vzr ndio uingie humu jamii forum
 
Wadau Em Nisaidieni kwa hili coz KATIBA Niliyonayo mimi hapa MAMBO YA IMANI NA UHURU WA DINI Yamezungumziwa Ktk Ibara Ya 40 (1) nakuendelea.Sasa hapa kuna utata coz wengne wanasema mambo ya IMANI NA UHURU WA DINI Ipo ktk Ibara Ya 41.


Ha ha ha Laizer wewe una Katiba pendekezwa ya wapi??? na ya rangi gani acha hizo kutupotezea muda humu JF kuna mambo kibao ya kujadili jitambue omba msaada kwa mwenyekiti wako wa mtaa au humjui???
 
Sasa hii katiba yangu ni ya wapi maana huo uhuru wa vyombo vya Habari ipo ktk ibara ya 39

em weka link ya iyo katiba yako hapa nii download
thanks


Kiongozi mi ninayo hard copy ila natafuta softcopy leo leo , sasa naomba uattach hiyo ulikuwa unaisoma ambayo baadhi ya wana JF wamesema haiko sawa tuione kama ni feki tusaidiane kuchukua tahadhari.
 
OHOOOOO! Hiyo Katiba yako umeitoa wapi Laizer Peter? Sasa soma hiyo hapo nakupatia maana unanitia mashaka kama una Katiba Inayopendekezwa ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

View attachment 239449



Ahsante sana kaka MWASI MWAKENDA Kwa kuwa tangu jana ulikua unajaribu kunipa elimu juu ya katiba na sikua nakuelewa kutokana na KATIBA Niliyotumiwa na mtu mwingne ambayo ni tofauti na hii uliyonitumia sasa ndo maana nilikua nakupinga kumbe ulikua sahihi.

Na mimi pia nilikua sahihi kutokana na ninachosoma BUT Kwa upande mwingne nilikua MPUMBAVU wakudanganywa.

Kumbe ile KATIBA Niliyonayo jana ni FAKE Na aliyenitumia ni mtu asiyekua na utu na nchi yetu ILA Nashukuru maana leo hii nimepata UKWELI.
Na nakushukuru pia kwa kuniweka mstari wa WATANZANIA wenzangu.

WITO KWA WATANZANIA

Usikubali kudanganywa kama mimi ..KUMBE NILITUMIWA KATIBA FAKE.


Nakushukuru Tena bwana MWASI Maana umefanya niipate haki yangu ya kuijua KATIBA yangu HATA Kama nitaipinga baadae.

thanks again & naomba muda niisome. kwa utulivu ya hali ya juu na uelewa.
 
Kiongozi mi ninayo hard copy ila natafuta softcopy leo leo , sasa naomba uattach hiyo ulikuwa unaisoma ambayo baadhi ya wana JF wamesema haiko sawa tuione kama ni feki tusaidiane kuchukua tahadhari.

Hiyo yawezekana kaitunga yeye na wa kwao.
 
Naona mnajitekenya wenyewe mnacheka wenyewe!

Na mimi natafuta kipemgele cha ukomo wa ubunge haya nyie wataalam wa katiba pendekezwa embu nionyesheni kifungu na mimi nisome!
Maana sisi wananchi tulipendekeza kue kuna ukomo wa ubunge
 
Naona mnajitekenya wenyewe mnacheka wenyewe!

Na mimi natafuta kipemgele cha ukomo wa ubunge haya nyie wataalam wa katiba pendekezwa embu nionyesheni kifungu na mimi nisome!
Maana sisi wananchi tulipendekeza kue kuna ukomo wa ubunge


Nipe ufafanuzi wa Mbunge Zitto Kabwe kakaa kwenye ubunge kwa muda gani? afu ufanye utafiti wananchi wa jimbo lake wanampenda hawampendi? ukipata majibu ya wananchi njooo tukiweke!
 
Nipe ufafanuzi wa Mbunge Zitto Kabwe kakaa kwenye ubunge kwa muda gani? afu ufanye utafiti wananchi wa jimbo lake wanampenda hawampendi? ukipata majibu ya wananchi njooo tukiweke!

Kwa hiyo kwenye katiba pendekezwa hamna?
Maana naona habari za Zito tu hapo.

Mnataka watu wawe wanazeekea kwenye uongozi? Viongozi wenye uroho wa madaraka wamevinyofuo vifungu vya ukomo kwa sababu ya uroho wa madaraka na nyinyi vibaraka mnashangilia tu!

Watu tunataka kue kuna mabadiliko sio kukariri kila siku viongozi haohao tu mpaka wanazeekea madarakani kwani wengine wanaofaa kua viongozi hamna?
 
Kwa hiyo kwenye katiba pendekezwa hamna?
Maana naona habari za Zito tu hapo.

Mnataka watu wawe wanazeekea kwenye uongozi? Viongozi wenye uroho wa madaraka wamevinyofuo vifungu vya ukomo kwa sababu ya uroho wa madaraka na nyinyi vibaraka mnashangilia tu!

Watu tunataka kue kuna mabadiliko sio kukariri kila siku viongozi haohao tu mpaka wanazeekea madarakani kwani wengine wanaofaa kua viongozi hamna?

Nipe jibu usirudie maelezo yangu,nimemtaja huyo kama mfano wako kibao wana support ya wananchi,fanya utafiti jimbo la Zito, FIkunjombe,NDesamburo ukipata maoni ya wananchi njoo ushawishi wananchi tukiweke!
 
Sasa hii katiba yangu ni ya wapi maana huo uhuru wa vyombo vya Habari ipo ktk ibara ya 39

em weka link ya iyo katiba yako hapa nii download
thanks

Probably we unatumia rasimu ya mzee warioba....i stand to be corrected
 
Back
Top Bottom