lukala
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 594
- 590
Habarini ndg, na samahanini pia sijui hii mada ningeiweka wapi kati ya jukwaa la michezo au la siasa.
Nirudi kwenye point, nimejaribu kufikiria hili jambo muda mrefu sana kwasasa nimeanza kupata majibu , hizi nchi zetu za Afrika tunakasumba mbaya sana kwa watu makini na weledi kama Ndg Mhando.
Huyu jamaa binafsi nimeanza kumskia BBC na kweli mambo yake pale yalikuwa hatari sana ,na fahamu alikuwa anafanya kazi na wazungu hakika jamaa aliwapiga bao sana wanzungu na kufanya bbc kwa huku kwetu kila ifikapo saa kumi na mbili watu wanapenda kuisikiliza taarifa zao.
Mwishoni mwa miaka ya 2000 kama sikosei huyu jamaa alirudi bongo kufanyia kazi rtd na Tvt duuu huyu jamaa ndiye aliyeibadilisha kutoka Tvt na kupelekea TBC. ..hakika ikawa kituo bora kabisa hapa Tz kwa kipindi kile lkn sijui kitu gani kilimtoa naamini figisu ambayo Waafrika siku zote hatutaki watu weredi.
Baada ya miaka kuanzia 2014 , huyu jamaa akaenda Azam media duu huyu jamaa hatarii Azam media licha ya uchanga wake huyu jamaa alianza ku- capture taratibu soko la Tz na East Africa kwa ujumla . Hii miaka minne tu tangu Azam media awepo pale leo hii ni kituo bora kabisa kwa East Afrika na central Africa and some part of South African zone.
Hivi najiuliza kama hawa TBC wangemuacha huyu jamaa na angetekeza majukumu yake kwa uhuru na kisayansi leo naamini Tbc ingeshika Afrika
Sent using Jamii Forums mobile app
Nirudi kwenye point, nimejaribu kufikiria hili jambo muda mrefu sana kwasasa nimeanza kupata majibu , hizi nchi zetu za Afrika tunakasumba mbaya sana kwa watu makini na weledi kama Ndg Mhando.
Huyu jamaa binafsi nimeanza kumskia BBC na kweli mambo yake pale yalikuwa hatari sana ,na fahamu alikuwa anafanya kazi na wazungu hakika jamaa aliwapiga bao sana wanzungu na kufanya bbc kwa huku kwetu kila ifikapo saa kumi na mbili watu wanapenda kuisikiliza taarifa zao.
Mwishoni mwa miaka ya 2000 kama sikosei huyu jamaa alirudi bongo kufanyia kazi rtd na Tvt duuu huyu jamaa ndiye aliyeibadilisha kutoka Tvt na kupelekea TBC. ..hakika ikawa kituo bora kabisa hapa Tz kwa kipindi kile lkn sijui kitu gani kilimtoa naamini figisu ambayo Waafrika siku zote hatutaki watu weredi.
Baada ya miaka kuanzia 2014 , huyu jamaa akaenda Azam media duu huyu jamaa hatarii Azam media licha ya uchanga wake huyu jamaa alianza ku- capture taratibu soko la Tz na East Africa kwa ujumla . Hii miaka minne tu tangu Azam media awepo pale leo hii ni kituo bora kabisa kwa East Afrika na central Africa and some part of South African zone.
Hivi najiuliza kama hawa TBC wangemuacha huyu jamaa na angetekeza majukumu yake kwa uhuru na kisayansi leo naamini Tbc ingeshika Afrika
Sent using Jamii Forums mobile app