Imani za kishirikina baaaaaaaaaaaaaaado kabisa bongo soka!

Imani za kishirikina baaaaaaaaaaaaaaado kabisa bongo soka!

Magehema

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2008
Posts
428
Reaction score
28
Juzi nilikuwa naangalia news bulletin kupitia Star TV, wakati wa kipindi cha michezo wakaonyesha clip ya mechi ya Simba vs Mtibwa wakati wakipeana mikono na mgeni rasmi, cha ajabu ni kwamba Amri Kiemba wa Simba alikataa kumpa mkono mgeni wa rasmi wa pambano lile. Hizi imani za ajabu zitakwisha lini???:sad:
 
juzi nilikuwa naangalia news bulletin kupitia star tv, wakati wa kipindi cha michezo wakaonyesha clip ya mechi ya simba vs mtibwa wakati wakipeana mikono na mgeni rasmi, cha ajabu ni kwamba amri kiemba wa simba alikataa kumpa mkono mgeni wa rasmi wa pambano lile. Hizi imani za ajabu zitakwisha lini???:sad:

kwaninin ukimbilie huko labda kamchukulia mke?
 
kwaninin ukimbilie huko labda kamchukulia mke?


si ndio wakati wa kukumbatiana na kumshukuru kwa kumtunzia....kachemsha huyo yawezekanaa alikuwa kabeba mikoba ya sikuhiyo kama siku simba na yanga live unaona huyu kajitwika leo wanajua wakigusa wamekwenda
 
wabongo aka wa-TZ ni sie wenyewe tunalea imani... yani wewe cha kwanza umedhani ni uchawi... dah
 
wabongo aka wa-TZ ni sie wenyewe tunalea imani... yani wewe cha kwanza umedhani ni uchawi... dah
Mambo yapo wazi, sio mara ya kwanza, na bahati nzuri I was once a footballer so nayajua hayo mambo. Katika normal circumstances huwezi ukakataa kusalimiana na mgeni rasmi!
 
Back
Top Bottom