Imani zenu ni za kazi gani sasa kama mnaonewa kila siku

Imani zenu ni za kazi gani sasa kama mnaonewa kila siku

Mi mi

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2024
Posts
2,748
Reaction score
5,112
Maadui wenu mnawafahamu ila mnawakalia kimya kwa nini?

Imani zenu za kimila na kidini ni za kazi gani sasa?

Mnashindwa kuwa shughulikia kimila mmoja baada ya mwengine maana madaraka ya kuwa umiza wanayo sasa kilichobaki ni nini? Washughulikieni kwa jadi uone kama watafanya ujinga tena juu yenu.

Imani za kidini mnazo na mafundisho ya imani zenu yana hadithi ndani yake ambazo watesi walishughulikiwa haswa na kuangamizwa ya farao hamuyakumbuki?

Njia ni mbili tu za kudili na wanao jiona wababe wa kimwili ni kudili nao kimila/kijadi ama kidini kazi kwenu.

Mpaka lini mtaendelea kuwa wanyonge juu yao?
 
Maadui wenu mnawafahamu ila mnawakalia kimya kwa nini ?

Imani zenu za kimila na kidini ni za kazi gani sasa ?

Mnashindwa kuwa shughulikia kimila mmoja baada ya mwengine maana madaraka ya kuwa umiza wanayo sasa kilichobaki ni nini ? Washughulikieni kwa jadi uone kama watafanya ujinga tena juu yenu.

Imani za kidini mnazo na mafundisho ya imani zenu yana hadithi ndani yake ambazo watesi wali shughulikiwa haswa na kuangamizwa ya farao hamuyakumbuki ?

Njia ni mbili tu za kidili na wanao jiona wababe wa kimwili ni kudili nao kimila/kijadi ama kidini kazi kwenu.

Mpaka lini mtaendelea kuwa wanyonge juu yao ?
Dogo imani zinafanya kazi lakini si kwa utashi wa wahusika

Kumbuka Miaka Ile watu wakienda milimani matokeo yake tukazika mtu chato

Sijui unataka turudi tena milimani
Tukazike mtu kizimkazi

hii Dunia Haina mbane isipokuwa mmoja tu
 
Back
Top Bottom