Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa Mkuu kwani kuyaanika ndio kulipwa?sasa hivi amekuwa sio kocha wakati mlivaa hadi vipensi kumuunga mkono alipokuwa anasema Simba inabebwa wote mlimsapoti leo ndio mnamuona msanii kama hamtaki ayaanike madhaifu yenu mpeni chake aondoke
Watashindana sana lakini hawatashindakwa kweli Zahera anasikitisha sana,mtu mwenye weledi hawezi kufanya hivyo,pia hizo media alizoongea nazo nao ni wapuuzi zina watu wa Simba sc mfano Clouds fm yupo shafidauda wa simba pia efm masoud maestro wa simba na lengo lao kuivuruga Yanga!
these guys are idiots!!
Weeee shafii dauda hatumtaki hata burekwa kweli Zahera anasikitisha sana,mtu mwenye weledi hawezi kufanya hivyo,pia hizo media alizoongea nazo nao ni wapuuzi zina watu wa Simba sc mfano Clouds fm yupo shafidauda wa simba pia efm masoud maestro wa simba na lengo lao kuivuruga Yanga!
these guys are idiots!!
Kumbuka alipo itoa Yanga, hii timu ilikuwa inashuka daraja
Kwani anavunja Sheria ipi.
Kama Binadamu ana Uhuru wa kufanya chochote.
Mnataka kumfuatilia hadi maisha yake binafsi.
Mpeni hela alizokuwa anawakopesheni.Baada ya kuondolewa Yanga amebaki anazunguka kwenye vyombo vya habari kila kukicha nambieni kocha yupi duniani aliondolewa akaanza kuzunguka zunguka kwenye media kinachoonekana alikuwa dalali sasa mambo yamekwama amepagawa