Imekaaje hii nayo

Imekaaje hii nayo

Tabutupu

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2010
Posts
13,206
Reaction score
18,549
Umefukuzia kutaka kumwoa dada mtu, kakuchomlea. Baadaye uNagundua anamdogo wake ambaye alikuwa hata hajui ya dada ake, unamsomesha anakubali . Je kumchumbia mdogo mtu wakati dadamtu kakuchomolea haitaleta balaabalaa?
 
Ktk hili naona haitakuwa na ubaya kinachota is true love
 
we endelea, na harusi tangaza tukuchangie na huyo dada mtu awepo........
 
Oa Tena Mpe mapenzi mazito sana huyo mdogo mtu given hakula tunda la dada yake.
 
Umefukuzia kutaka kumwoa dada mtu, kakuchomlea. Baadaye uNagundua anamdogo wake ambaye alikuwa hata hajui ya dada ake, unamsomesha anakubali . Je kumchumbia mdogo mtu wakati dadamtu kakuchomolea haitaleta balaabalaa?
Jambo jema na la maana kwanza unatakiwa umuweke wazi dada mtu kuwa kwa sasa wewe ni shemeji yake na hukuwa na nia mbaya wakati unajaribu kumtongoza maana anaweza kuja sikia na kuleta balaa hata la kizushi kwa mdogo wake kuwa nae uliwahi kula,kama mwenzi wako ni muelewa basi nae yafaa umwambie ukweli wa kilichotokea ili kusiwe na mashaka pale dada mtu atakapoleta balaa zake.
Hongera sana kwa kuweza kuwekeza pale pale moyo wako ulipokuwa unataka na kwa kuwa uwekezaji wa mwanzo haukuwa mzuri sasa wekeza hapo tena ongeza mtaji ila angalia usije jikuta unakula kote kote.
 
Hapo hamna shida, pengine sababu zilizofanya dada mtu akatae hazina mshiko kwa mdogo mtu na wewe ulikataliwa na dada mtu sio ukoo wao. Hata hivyo kuwa makini maana dada mtu lazima ataleta sumu, lazima atataka kumshika masikio mdogo wake

Ulimwambia mdogo mtu kuwa ulikula za uso kwa dada yake?
 
Umefukuzia kutaka kumwoa dada mtu, kakuchomlea. Baadaye uNagundua anamdogo wake ambaye alikuwa hata hajui ya dada ake, unamsomesha anakubali . Je kumchumbia mdogo mtu wakati dadamtu kakuchomolea haitaleta balaabalaa?


Ina maana ulikuwa unafanya trial and error, huyo dada mtu hukumpenda in the first place. Dah! Wanaume kwa kurusha ndoano! Anyways yote heri, endelea na owa, ila make sure haumtendi huyo mdogo mtu, Coz watakushukia hadi utabroo mapigo!
 
Ina maana ulikuwa unafanya trial and error, huyo dada mtu hukumpenda in the first place. Dah! Wanaume kwa kurusha ndoano! Anyways yote heri, endelea na owa, ila make sure haumtendi huyo mdogo mtu, Coz watakushukia hadi utabroo mapigo!

Sikuwa na jaribu, kwa jinsi nilivyo mpenda dada mtu , nimeamua nisitoke nje ya jamii yake. kuhusu kumtenda mdogomtu usiwe na hofu, Nina MBA (Bikra management and security)
 
Sikuwa na jaribu, kwa jinsi nilivyo mpenda dada mtu , nimeamua nisitoke nje ya jamii yake. kuhusu kumtenda mdogomtu usiwe na hofu, Nina MBA (Bikra management and security)

hahahaaa, kweli JF is never boring
Source-The Boss
 
Back
Top Bottom