Imekaaje hii Tangazo la Airtel na Vodacom

mrimbeni

Member
Joined
Dec 10, 2015
Posts
30
Reaction score
16
Leo katika kipindi cha Jahazi Clouds FM nimesikia tangazo la Airtel na Vodacom yakitangazwa katika kipindi hicho je inawezekana kwa washindani wamoja katika biashara kudhamini kipindi kimoja cha redio? katika sheria ya ushindani wa biashara imekaaje hii?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…