Imekaaje kwa Mtu uliyekuwa unamuamini sana halafu anakufanyia hivi...

Imekaaje kwa Mtu uliyekuwa unamuamini sana halafu anakufanyia hivi...

Msumb

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2022
Posts
3,452
Reaction score
5,372
Ipo hivi wakuu Kuna Jamaa nilimuamini sana maana niliunganishwa na rafiki yangu yani rafiki yake na rafiki yangu katika kumsaidia katika kazi!?

Siku ya alhamisi akanishtua huyo rafiki yake na rafiki yangu kwamba twende sehemu tukafanye kazi maana namba zetu tulipeana, basi hiyo tumeenda katika kazi akapewa maelekezo ya kufanya na tajiri Mimi nipo pembeni maana amenichukua tu, basi baanda ya kupewa akanipa maelekezo jinsi ya kufanya maana Sina ujuzi nayo Ile kazi tumeifanya siku tatu tukaimaliza,

Nifupishe story tu Toka jumapili ajanipa kilichokua Haki yangu na nilipoenda alipokuwa anaishi ameama kabisa hayupo kabisa na makubaliano yetu Mimi na yeye ni atanilipa kila siku 15000 kwa siku tatu ila kwa sababu zake anasema hakupewa hela ya kianzio yeye afanye kazi tu pia akasema siku tatu anipe kwa awamu nzima jumla iwe 45000 na chakula alikuwa ananinunulia Asubuhi na Mchana jumla 6000 maana asubuhi 1000 pia Mchana 1000 yani Bora angenikata hela ya kuninunulia chakula nikabaki na kiasi changu kingenisaidia 😢 natamani itokee muujiza nitokee huko aliko nimuulize fulani mbona umenifanyia hivi anipe majibu kabisa roho itulie Nina uchungu na hasira sana😭 hela ndo nilikuwa naitegemea sana niwe na malengo nayo
 
Ipo hivi wakuu Kuna Jamaa nilimuamini sana maana niliunganishwa na rafiki yangu yani rafiki yake na rafiki yangu katika kumsaidia katika kazi!?

Siku ya alhamisi akanishtua huyo rafiki yake na rafiki yangu kwamba twende sehemu tukafanye kazi maana namba zetu tulipeana , basi hiyo tumeenda katika kazi akapewa maelekezo ya kufanya na tajiri Mimi nipo pembeni maana amenichukua tu, basi baanda ya kupewa akanipa maelekezo jinsi ya kufanya maana Sina ujuzi nayo Ile kazi tumeifanya siku tatu tukaimaliza,

Nifupishe story tu Toka jumapili ajanipa kilichokua Haki yangu na nilipoenda alipokuwa anaishi ameama kabisa hayupo kabisa na makubaliano yetu Mimi na yeye ni atanilipa kila siku 15000 kwa siku tatu ila kwa sababu zake anasema hakupewa hela ya kianzio yeye afanye kazi tu pia akasema siku tatu anipe kwa awamu nzima jumla iwe 45000 na chakula alikuwa ananinunulia Asubuhi na Mchana jumla 6000 maana asubuhi 1000 pia Mchana 1000 yani Bora angenikata hela ya kuninunulia chakula nikabaki na kiasi changu kingenisaidia 😢 natamani itokee muujiza nitokee uko aliko nimuulize flani mbona umenifanyia hivi anipe majibu kabisa roho itulie Nina uchungu na hasira sana😭 hela ndo nilikuwa naitegemea sana niwe na malengo nayo
Pole sana ! Ninayaona maumivu yako.
Cha msingi wewe angalia namna utapata kazi nyingine ili kufunika maumivu uliyonayo.
Binadamu hukutana hivyo mtakutana tu.
Njia nyingine ingawa si sahihi wewe nenda mlipokuwa mnafanya kazi kudai haki yako hapo ndio utajua kama kalipwa au bado ili mkikutana ulale nae kiulalo ulalo.
 
Ipo hivi wakuu Kuna Jamaa nilimuamini sana maana niliunganishwa na rafiki yangu yani rafiki yake na rafiki yangu katika kumsaidia katika kazi!?

Siku ya alhamisi akanishtua huyo rafiki yake na rafiki yangu kwamba twende sehemu tukafanye kazi maana namba zetu tulipeana, basi hiyo tumeenda katika kazi akapewa maelekezo ya kufanya na tajiri Mimi nipo pembeni maana amenichukua tu, basi baanda ya kupewa akanipa maelekezo jinsi ya kufanya maana Sina ujuzi nayo Ile kazi tumeifanya siku tatu tukaimaliza,

Nifupishe story tu Toka jumapili ajanipa kilichokua Haki yangu na nilipoenda alipokuwa anaishi ameama kabisa hayupo kabisa na makubaliano yetu Mimi na yeye ni atanilipa kila siku 15000 kwa siku tatu ila kwa sababu zake anasema hakupewa hela ya kianzio yeye afanye kazi tu pia akasema siku tatu anipe kwa awamu nzima jumla iwe 45000 na chakula alikuwa ananinunulia Asubuhi na Mchana jumla 6000 maana asubuhi 1000 pia Mchana 1000 yani Bora angenikata hela ya kuninunulia chakula nikabaki na kiasi changu kingenisaidia 😢 natamani itokee muujiza nitokee huko aliko nimuulize fulani mbona umenifanyia hivi anipe majibu kabisa roho itulie Nina uchungu na hasira sana😭 hela ndo nilikuwa naitegemea sana niwe na malengo nayo
unachopitia ww ndo nachopitia mm kuna jamaa kama hvo niliunganishwa na mtu tukafanya kazi ya kwanza n ya masaa tu akanipa chngu week 2 nyuma akancheki kuna kazi tumekubakiana nimefanya kazi nmemaliza hela yangu iliobaki 160,000 hajanimalizia anipokelei simu 🥲 nkamtafuta kwenye namba ngeni akapokea nkamchana unayonifanyia unaona ni sahihi...? ooih samahan ntakutumia j5 yaan kesho apa nmekausha simchek week hii ikiisha natumia namba ngeni na ntamapata tu ntachomfnya qmmake atajifunza kuhrshimu jasho na nguvu za watu hi dharau istoshe mtu unafanya kazi kwa moyo 🥲 unapga hesabu nikpata hii pesa nifanye jambo fulan afu mtu anachukulia poa dah inauma kisenge
 
Nakuaga site na mafundi, sijui fundi wakifanyiana hivi inakuaje maana kazi ya site ngumu sana. Hata kama wengine hela wanaona ndogo, lakini usipolipwa kabisa kazi ya ufundi ujenzi unaweza zimia.
 
Ipo hivi wakuu Kuna Jamaa nilimuamini sana maana niliunganishwa na rafiki yangu yani rafiki yake na rafiki yangu katika kumsaidia katika kazi!?

Siku ya alhamisi akanishtua huyo rafiki yake na rafiki yangu kwamba twende sehemu tukafanye kazi maana namba zetu tulipeana, basi hiyo tumeenda katika kazi akapewa maelekezo ya kufanya na tajiri Mimi nipo pembeni maana amenichukua tu, basi baanda ya kupewa akanipa maelekezo jinsi ya kufanya maana Sina ujuzi nayo Ile kazi tumeifanya siku tatu tukaimaliza,

Nifupishe story tu Toka jumapili ajanipa kilichokua Haki yangu na nilipoenda alipokuwa anaishi ameama kabisa hayupo kabisa na makubaliano yetu Mimi na yeye ni atanilipa kila siku 15000 kwa siku tatu ila kwa sababu zake anasema hakupewa hela ya kianzio yeye afanye kazi tu pia akasema siku tatu anipe kwa awamu nzima jumla iwe 45000 na chakula alikuwa ananinunulia Asubuhi na Mchana jumla 6000 maana asubuhi 1000 pia Mchana 1000 yani Bora angenikata hela ya kuninunulia chakula nikabaki na kiasi changu kingenisaidia 😢 natamani itokee muujiza nitokee huko aliko nimuulize fulani mbona umenifanyia hivi anipe majibu kabisa roho itulie Nina uchungu na hasira sana😭 hela ndo nilikuwa naitegemea sana niwe na malengo nayo
Umaskini mbaya sana.

Inaonekana wewe ni kichwa box, huyo jamaa kwa kumpata anza kwanza na aliyekuunganisha naye.
 
Umaskini mbaya sana.

Inaonekana wewe ni kichwa box, huyo jamaa kwa kumpata anza kwanza na aliyekuunganisha naye.
Huyo rafiki yangu mwaka umeanza hayupo huku nae kaenda mikoani huko kutafuta ishu zake zingine huku aliniunganisha tu akijua rafiki yake ana mishe mishe nyingi za kazi, yeye hajui chochote
 
Pole sana,binadamu ni mnyama na mnyama ndiye mtu kwa sasa
 
Pole Sana Kaka ,zama PM andika namba yako Kama kichwa Cha habari nikutumie hiko kiasi .

Naomba ujitahidi walau isizidi saa moja maana sio muda nitakuwa sehemu kusipokuwa na mtandao wa kutuma Wala kupokea
Mkuu mbona kimya kiongozi nilishakucheck mkuu
 
Back
Top Bottom