KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
Inafahamika kuwa Marais huwa na wasaidizi wao, kwa hapa kwetu msaidizi wa Rais ndio huwa karibu na Rais na huteuliwa kwa uyakinifu.
Nini hiki kinachotokea Kenya kuona Rais wetu anamsaidizi mwengine tena nahisi si kutoka katika taifa letu. Kiusalama ni nini hii?
Je, ulinzi wa Rais wetu upo kiumakini kweli au ni kawaida?
Nini hiki kinachotokea Kenya kuona Rais wetu anamsaidizi mwengine tena nahisi si kutoka katika taifa letu. Kiusalama ni nini hii?
Je, ulinzi wa Rais wetu upo kiumakini kweli au ni kawaida?