Nilimsikia majuzi rais wa SMZ akishukuru kwa SJMT baada ya SMZ kupewaOfisiktk ikulu mpya ya Dodoma
Ne ni kwa sababu ni ikilu mpyaaa au hata pale magogoni SMZ wana Premise zao?
Isitosheniliwahi kusikia pia kama SMZ walipewa eneo la kune ga Ofisi zao pale Dodoma.
Binafsi najiuliza sana kwann ardhi ya sehemu moja ya Muungano ina pendwa sanaa ilihali kwa wenzetu huko chao ni chao hakuna ku share .. Kuna vitu haviko sawa ktk Muungano huu