Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,960
- 67,654
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa naona kakwepa kusogeleana na wake za Watu.Ila sanaa na umaarufu sasa yule Juma Jux pale haonekani au?
Wizara inaongozwa na mkwe.Hii imekaaje wakuu?
Soma Pia: CHADEMA yakabidhiwa Ilani ya Uchaguzi kutoka kwa AZAKI 300 nchini
Ni jukumu lao kusema hivyoNa Bado tunaambiwa uchaguzi utakuwa huru na haki View attachment 3121235
Kwa fedha anazo taka Diamond kwa shoo nina dhani mama Abdul kamchangia mkwe wake 😩Hii imekaaje wakuu?
Soma Pia: CHADEMA yakabidhiwa Ilani ya Uchaguzi kutoka kwa AZAKI 300 nchini
Majukumu mengine wangeacha tu..Ni jukumu lao kusema hivyo
Tuendane na mfumo tu.Hii imekaaje wakuu?
Soma Pia: CHADEMA yakabidhiwa Ilani ya Uchaguzi kutoka kwa AZAKI 300 nchini
Ni ukosefu wa weledi huo.Hii imekaaje wakuu?
Soma Pia: CHADEMA yakabidhiwa Ilani ya Uchaguzi kutoka kwa AZAKI 300 nchini
Pengine hujui maana ya msemo wa "Bongo Nyoso"Wakuu nina jambo hapa linanisumbua kichwani.
Nimepita kwenye pages kadhaa za wizara mbalimbali na nimekuta wana post sana mikutano chama cha siasa pamoja na shughuli zake kadha wa kadha.
Ninaomba ufafanuzi kwa mwenye uelewa wa mambo haya. Hii iko sawa, official page ya wizara ku post ziara za kuimarisha chama?