Pre GE2025 Imekaaje ukurasa wa Tamisemi huko Twitter kueleza habari za Ilani ya CCM?

Pre GE2025 Imekaaje ukurasa wa Tamisemi huko Twitter kueleza habari za Ilani ya CCM?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Camilo Cienfuegos

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2015
Posts
18,960
Reaction score
67,654
Hii imekaaje wakuu?
IMG_3900.jpeg
Soma Pia: CHADEMA yakabidhiwa Ilani ya Uchaguzi kutoka kwa AZAKI 300 nchini
 
Wakuu nina jambo hapa linanisumbua kichwani.
Nimepita kwenye pages kadhaa za wizara mbalimbali na nimekuta wana post sana mikutano chama cha siasa pamoja na shughuli zake kadha wa kadha.

Ninaomba ufafanuzi kwa mwenye uelewa wa mambo haya. Hii iko sawa, official page ya wizara ku post ziara za kuimarisha chama?
 
Wakuu nina jambo hapa linanisumbua kichwani.
Nimepita kwenye pages kadhaa za wizara mbalimbali na nimekuta wana post sana mikutano chama cha siasa pamoja na shughuli zake kadha wa kadha.

Ninaomba ufafanuzi kwa mwenye uelewa wa mambo haya. Hii iko sawa, official page ya wizara ku post ziara za kuimarisha chama?
Pengine hujui maana ya msemo wa "Bongo Nyoso"

mwenye kujua amjuze
 
Back
Top Bottom