Pre GE2025 Imekaaje ukurasa wa Tamisemi huko Twitter kueleza habari za Ilani ya CCM?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Inaweza kuwa sawa kwa mtazamo wa kichawa! Wanalinda mikeka yao! Ila kiutaratibu sio sahihi! Hata pages za Halmashauri hazitakiwi ila kwa Tanzania viongozi wanalinda ugali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…