Imekaaje unatoa na kuomba msaada?

Magufuli alitoa msaada Msumbiji walipopatwa na kimbunga, unakumbuka?
But ndiyo napata swali, wakati wewe una shida inawezekana ukatoa msaada kwa mwenzako kwa kigezo cha diplomasia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…