Imekaaje?

Yo Yo

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2008
Posts
11,210
Reaction score
1,720


hii imekaaje huyu mwanamama anahitaji kalipio......kafunga ndoa kuwa atahimili shida na raha....after all watu wanazitafuta....
 

Attachments

  • 11.jpg
    29.4 KB · Views: 267
Hahahhahahaaaaaaaaa Kwahiyo hiyo ni shida au Raha
mie nasikiaga zinatafutwa hizi ndio maana kuna za kuziboost...

....uzoefu wa wakina dadaz wanasemaje hizi za kimandingo ni raha au kero?
 
Sio siri naona mdada alizidiwa hadi kuamua kurudi kwao, mzee alifungasha vibaya mnoo! Nadhani rungu likizidi ukubwa inakuwa kero sasa, maana mdada alikuwa anaumia kila siku badala ya kupata raha.
 
Sio siri naona mdada alizidiwa hadi kuamua kurudi kwao, mzee alifungasha vibaya mnoo! Nadhani rungu likizidi ukubwa inakuwa kero sasa, maana mdada alikuwa anaumia kila siku badala ya kupata raha.
Taratibu ndiyo mwendo.Unavumilia ,with time INAZOELEKA,inakuwa palatable.Ila mdau nadhani alikuwa na haraka sana na alikosa ubunifu.NAZUNGUMZA KWA UZOEFU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…