Imekula kwenu wanawake

kuna maneno ambayo mwanaume kuyatumia haipendezi, japo hakuna mahala yamekatazwa mwanaume usiyatumie...

1. tyu ukimaanisha 'tu'
2. k ukimanisha 'ok'
3. p ukimaanisha 'poa'
4. tantee ukimaanisha 'ahsante'
5. jomoni ukimaanisha 'jamani'... NB hata hili neno jamani real gentlemen hawezi litumia
6. enx ukimaanisha 'thanks'
n.k

maneno mengine ni kama unachati na dume mwenzio alafu unatumia neno dia, my, wangu n.k haitakiwi
 
kweli mkuu..
 
na..poyee, sijui wanamaanisha nini! vr disgusting
 
Nimejifunza jipya, yaani siku zote nilikuwa nadhani K inamaanisha yule mnyama mtamuu. Dah, acha nirudi kwenye inbox yangu fasta. Kumbe wengine tulikiwa tunakosana bure tu huku wengine wakinikasirikia ghafla hadi najuiliza, kunani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…