Soloma TV Online
Senior Member
- Jun 26, 2023
- 104
- 291
Tshabalala ameshazeeka huyo au sijui ndoa inampelekesha? Ona alivyofungishwa tela na tu-vijana!Fei bado hana fitness ya kuitwa stars, hao Kapombe na Shabalala kocha ndio mwenye majibu.
Yaani wewe ulitaka kwa mfano asiitwe Kibabage, aitwe nani sasa hapo.Kama ilivyokuwa kwenye mkeka wa Teuzi za Mawaziri na Makatibu wa Wizara mbalimbali kutoka baadhi ya Waheshimiwa walikuwa bize kuangalia kama wametokea kwenye mkeka huo ndivyo ilivyokuwa kwa wadau wa soka walivyokuwa bize kuangalia mkeka wa Taifa Stars.
Macho ya wadau yakajikuta yakianza juu na kushuka chini yakiwa yanatafuta majina matatu ya SHOMARI KAPOMBE, MOHAMMED HUSSEIN NA FEI TOTO ambao hawajatokea kwenye mkeka huo.
Huku swali likiwa IMEKUWAJE?
Duuu hoii aiseeeTshabalala ameshazeeka huyo au sijui ndoa inampelekesha? Ona alivyofungishwa tela na tu-vijana!
Kuna ile ya taifa stars na uganda kama sikosei alirusha mguu akaukosa mpira bobos akatuweka.Tshabalala ameshazeeka huyo au sijui ndoa inampelekesha? Ona alivyofungishwa tela na tu-vijana!
Boko na Erick Johora hawakustahili kuitwa kweli watu na visimati vyao.Kwani hao wana hati miliki ya team ya taifa
Acha vijana watumikie timu ya taifa
Sent using Jamii Forums mobile app
Who is the Head Coach?Kama ilivyokuwa kwenye mkeka wa Teuzi za Mawaziri na Makatibu wa Wizara mbalimbali kutoka baadhi ya Waheshimiwa walikuwa bize kuangalia kama wametokea kwenye mkeka huo ndivyo ilivyokuwa kwa wadau wa soka walivyokuwa bize kuangalia mkeka wa Taifa Stars.
Macho ya wadau yakajikuta yakianza juu na kushuka chini yakiwa yanatafuta majina matatu ya SHOMARI KAPOMBE, MOHAMMED HUSSEIN NA FEI TOTO ambao hawajatokea kwenye mkeka huo.
Huku swali likiwa IMEKUWAJE?
Well said.Boko na Erick Johora hawakustahili kuitwa kweli watu na visimati vyao.
Dogo anapitia kipindi kigumu sana.Haitaji elimu kubwa kujua kubwa fai toto anadrop kwa kasi kubwa sana
I wish wazitokee kbsa wachezaji gani hao wachezaji Ni wengi mno wakucheza nafsi huoKama ilivyokuwa kwenye mkeka wa Teuzi za Mawaziri na Makatibu wa Wizara mbalimbali kutoka baadhi ya Waheshimiwa walikuwa bize kuangalia kama wametokea kwenye mkeka huo ndivyo ilivyokuwa kwa wadau wa soka walivyokuwa bize kuangalia mkeka wa Taifa Stars.
Macho ya wadau yakajikuta yakianza juu na kushuka chini yakiwa yanatafuta majina matatu ya SHOMARI KAPOMBE, MOHAMMED HUSSEIN NA FEI TOTO ambao hawajatokea kwenye mkeka huo.
Huku swali likiwa IMEKUWAJE?
Fei atarudi Kwenye Kiwango hiki kweli ?Fei bado hana fitness ya kuitwa stars, hao Kapombe na Shabalala kocha ndio mwenye majibu.
Kocha wa Taifa aachwe afanye kazi yake.Kama ilivyokuwa kwenye mkeka wa Teuzi za Mawaziri na Makatibu wa Wizara mbalimbali kutoka baadhi ya Waheshimiwa walikuwa bize kuangalia kama wametokea kwenye mkeka huo ndivyo ilivyokuwa kwa wadau wa soka walivyokuwa bize kuangalia mkeka wa Taifa Stars.
Macho ya wadau yakajikuta yakianza juu na kushuka chini yakiwa yanatafuta majina matatu ya SHOMARI KAPOMBE, MOHAMMED HUSSEIN NA FEI TOTO ambao hawajatokea kwenye mkeka huo.
Huku swali likiwa IMEKUWAJE?