NITAKUKAMATA TU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 347
- 432
Habar wa sport,
Leo yanga imetambulisha wachezaji wote, lakin mchezaji anaeliportiwa kisajiliwa na yanga, kutoka uganda kiungo aucho.imekuwaje akuwepo wakati wa utambulisho , na kama kuna sababu nje ya uwezo wao, si angetajwa jina tu. Kwahivyo tuamini, kweli amesajiliwa?.
Leo yanga imetambulisha wachezaji wote, lakin mchezaji anaeliportiwa kisajiliwa na yanga, kutoka uganda kiungo aucho.imekuwaje akuwepo wakati wa utambulisho , na kama kuna sababu nje ya uwezo wao, si angetajwa jina tu. Kwahivyo tuamini, kweli amesajiliwa?.