Imekuwaje kiungo wa kimataifa wa Uganda khalid aucho hajatambulishwa

Imekuwaje kiungo wa kimataifa wa Uganda khalid aucho hajatambulishwa

NITAKUKAMATA TU

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2021
Posts
347
Reaction score
432
Habar wa sport,

Leo yanga imetambulisha wachezaji wote, lakin mchezaji anaeliportiwa kisajiliwa na yanga, kutoka uganda kiungo aucho.imekuwaje akuwepo wakati wa utambulisho , na kama kuna sababu nje ya uwezo wao, si angetajwa jina tu. Kwahivyo tuamini, kweli amesajiliwa?.

images.jpeg
 
Ametambulishwa, labda kama ulikua unaskiliza redio
 
Habar wa sport,leo yanga imetambulisha wachezaji wote, lakin mchezaji anaeliportiwa kisajiliwa na yanga, kutoka uganda kiungo aucho.imekuwaje akuwepo wakati wa utambulisho , na kama kuna sababu nje ya uwezo wao, si angetajwa jina tu.kwa hivo tuamini,kweli amesajiliwa?.

View attachment 1915492
Yuko kwao kwenye timu ya taifa

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom