Imekuwaje kukawa na bara la Ulaya?

Imekuwaje kukawa na bara la Ulaya?

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,657
Reaction score
20,967
Ukiangalia ramani unaona kabisa bara la Ulaya na Asia ni vimeungana na kuwa kitu kimoja. Kwa pamoja huitwa Eurasia lakini hatuna bara la Eurasia tuna Asia na Europe. Ilikuaje ikawa hivi?

Eurasia - relief map Eurasia 2.jpg
 
Kwa sababu ya intelligence.
Ukikaa na wajinga na wewe utakuwa mjinga tu
 
Back
Top Bottom