Imekuwaje kukawa na bara la Ulaya?

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,657
Reaction score
20,967
Ukiangalia ramani unaona kabisa bara la Ulaya na Asia ni vimeungana na kuwa kitu kimoja. Kwa pamoja huitwa Eurasia lakini hatuna bara la Eurasia tuna Asia na Europe. Ilikuaje ikawa hivi?

 
Kwa sababu ya intelligence.
Ukikaa na wajinga na wewe utakuwa mjinga tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…