The risk of HIV infection is exponentially proportional to the number of partners involved in this chain.
ndo maana hakusema kama jamaa anajua kuhusu yeye kula bata ni serengeti boyzzz wake.
Hapa huenda yeye ndo alilianzisha ,sasa mzee mzima kamrudi anajidai ooh anatembea na kikongwe mara kaniomba msamaha nk,nk.
acha ujinga wewe visasi havina nafasi hasa nyakati hizi.
Utakuja kula bunju likuvimbishe bure!!!!!!!!!!!!!
Mhhhh! in the heat of the moment after telling you husband that, I forgive you then you turn around in order to get even!!! 😕 😕
Na hii "interest" yako ya kusema uongo kama ulivyoiweka kwenye profile yako ni aje!? Sasa katika yote uliyoandika katika mjadala huu lipi ni la kweli na lipi ni uongo?
About Me
http://www.youtube.com/watch?v=lh2YP7oXqGQ
- About Mrs Mtaba
- Location Denmark
- Interests lying
maiti ya mwanamama anayesemekana kauwawa kwa kukatwakatwa na mapanga na mume wake mapema wiki hii ambaye ni mtanzania huko denmark ikipelekwa hospitali kwa uchunguzi na hifadhi. marehemu inasemekana ni mwenyeji wa denmark na wanandoa hawa walizaa watoto wawili.
source; issamichuzi.blogspot.com
...Watanzania 'ughaibuni' huko Denmark kuna nini yarabi, mbona Ndoa zenu mnazitia dosari namna hii?... chonde, chonde!
Mkuu nimecheki ile link sikuielewa, sijui kuna nani anaweza kutusaidia aisee
Inatia uchungu sana, hivi huyo Mrs Mtaba yupo online saa hii, anaweza kutuchekia news hiyo kutokea denmark?
Hahaha! Mpwa nakukubali kwa kutunza kumbukumbu. Isije ikawa Mrs Mtaba ndiye aliyerestishwa in peace baada ya kuweka ufisadi wake hadharani.
Hahaha! Mpwa nakukubali kwa kutunza kumbukumbu. Isije ikawa Mrs Mtaba ndiye aliyerestishwa in peace baada ya kuweka ufisadi wake hadharani.
Chrispin, Mrs Mtaba alisema hana mtoto, na huyu aliyeuawa ana watoto wawili. Hawa ni watu tofauti. Nahisi huyu mume ni Mkuraya wa huko Denmark au Samurai wariior toka Japan, kwani haiingii akilini kukatakata kwa upanga mwenzi wako wa ndoa!!
Ushauri kwa Mrs Mtaba, aidaha utulie na mumeo huku ukiendelea kumkanya arudi kwenye msitari wa uaminifu na huklu na wewe ukizidisha penzi (kwani huyo anayekuibia anakuzidi nini ambacho wewe huwezi fanya); la sivyo jiondokee uwe msela mambo yatajipa mbele ya safari. Ila kumbuka, ndoa ni kuvumiliana kama wenzio tunavyofanya!!
...'inasemekana' Mume ni msukuma wa Mwanza, na marehemu ni mama wa ki Danish (Mzungu)...
Wivu wa mapenzi ni mbaya sana, tunaenda nchini mwa watu halafu tunaleta za kuleta! ...aibu tupu!