Imeniuma sana kuona penye maslahi mazuri huwekana wao na familia zao

Imeniuma sana kuona penye maslahi mazuri huwekana wao na familia zao

Mama Naa

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2020
Posts
453
Reaction score
1,104
NCHI HII HAINA USAWA KABISA.

Nafasi zote za juu huteuliwa wao na familia zao au jamaa zao au rafiki zao. Mwananchi maskini kutoka Shishiyu wilayani Maswa mkoani Simiyu ambaye hana unasaba wala uswahiba na Kikwete, Nauye, Makamba, Samia au koo zao au rafiki zao au chama chao KAMWE HAWEZI KUONEKANA KWENYE TEUZI AU NAFASI ZA JUU ZA NCHI HII.

Na ndio maana BOT, TPA, TPDC wamejaa watoto wao na rafiki zao tu.

Sisi wengine tumejazana huku kwenye Udaktari, Unesi, Ualimu, Upolisi na magereza kwenye mishahara ya laki nne au tano BILA POSHO WALA MARUPURUPU.

Ifike hatua sisi wananchi tusio na ndugu au jamaa wa kutubeba tukemee na kulaani tabia hii ya VIONGOZI WA CCM.

Inauma sana kuona kuwa Nchi yetu sote ila maslahi mazuri ni ya kwao wao tu.

Nina huzuni kuu moyoni.

BAADHI YA MA DAS WAPYA.
HONGERENI SANA.
Geofrey Moses Nauye
Justice Lawrance Kijazi
Shauri Selenda Msuya
Neema Michael Magembhe
John Kulwa Mgalula
Ramadhani Salmin Possible
James Godfrey Mkumbo
James Francis Chalamila
Ruth John Magufuli
Fatima Said Kubenea
Pendo Daniel Ndumbaro
 
Nepotism ipo kwa kiwango cha juu sana kwa hawa wanaojiita watawala
 
BAADHI YA MA DAS WAPYA.
HONGERENI SANA.
Geofrey Moses Nauye
Justice Lawrance Kijazi
Shauri Selenda Msuya
Neema Michael Magembhe
John Kulwa Mgalula
Ramadhani Salmin Possible
James Godfrey Mkumbo
James Francis Chalamila
Ruth John Magufuli
Fatima Said Kubenea
Pendo Daniel Ndumbaro
 
Ebu jaribu kuomba kazi ata bank ya Dunia, na uambatanishe machapisho uliofanya; unaweza ukapelekwa ata huko Taliban; huku kwingine ni sarakasi tu.
 
[emoji56][emoji56][emoji56]
.pending-1686734835-7a78d66e70315df41ec1f75bec795730~2.jpeg
.pending-1686734940-563913d7f9b91b0737c51e07c9c71509~2.jpeg
 

Attachments

  • e943561c753ade1245243a766a2e653c.jpeg
    e943561c753ade1245243a766a2e653c.jpeg
    41.2 KB · Views: 7
NCHI HII HAINA USAWA KABISA.

Nafasi zote za juu huteuliwa wao na familia zao au jamaa zao au rafiki zao. Mwananchi maskini kutoka Shishiyu wilayani Maswa mkoani Simiyu ambaye hana unasaba wala uswahiba na Kikwete, Nauye, Makamba, Samia au koo zao au rafiki zao au chama chao KAMWE HAWEZI KUONEKANA KWENYE TEUZI AU NAFASI ZA JUU ZA NCHI HII.

Na ndio maana BOT, TPA, TPDC wamejaa watoto wao na rafiki zao tu.

Sisi wengine tumejazana huku kwenye Udaktari, Unesi, Ualimu, Upolisi na magereza kwenye mishahara ya laki nne au tano BILA POSHO WALA MARUPURUPU.

Ifike hatua sisi wananchi tusio na ndugu au jamaa wa kutubeba tukemee na kulaani tabia hii ya VIONGOZI WA CCM.

Inauma sana kuona kuwa Nchi yetu sote ila maslahi mazuri ni ya kwao wao tu.

Nina huzuni kuu moyoni.

BAADHI YA MA DAS WAPYA.
HONGERENI SANA.
Geofrey Moses Nauye
Justice Lawrance Kijazi
Shauri Selenda Msuya
Neema Michael Magembhe
John Kulwa Mgalula
Ramadhani Salmin Possible
James Godfrey Mkumbo
James Francis Chalamila
Ruth John Magufuli
Fatima Said Kubenea
Pendo Daniel Ndumbaro
Actually kwa haraka haraka nimeona Vijana 22 watoto wa viongozi wakipewa nafasi, hii inamaanisha kuwa serikalini nafasi na ajira zipo ila ni kwa watu maalumu na wanaojulikana. Je, wewe ni maalumu na unajilikana na viongozi? Kama sio basi ni vema ukaongeza bidii katika kazi zako vinginevyo hiki ni kichocheo cha hasira ya jamii dhidi ya serikali. Mapinduzi huanza kwa Mzaha, upinzani hii ni hoja muhimu kuirekebisha serikali. Nakumbuka 2015 Ajira za Uhamiaji zilifutwa baada ya Zito Zuberi Kabwe kuibua Nepotism ya kiwango cha SGR kwa walishinda usahili wakati ule na ngoma ikarudiwa.
 
NCHI HII HAINA USAWA KABISA.

Nafasi zote za juu huteuliwa wao na familia zao au jamaa zao au rafiki zao. Mwananchi maskini kutoka Shishiyu wilayani Maswa mkoani Simiyu ambaye hana unasaba wala uswahiba na Kikwete, Nauye, Makamba, Samia au koo zao au rafiki zao au chama chao KAMWE HAWEZI KUONEKANA KWENYE TEUZI AU NAFASI ZA JUU ZA NCHI HII.

Na ndio maana BOT, TPA, TPDC wamejaa watoto wao na rafiki zao tu.

Sisi wengine tumejazana huku kwenye Udaktari, Unesi, Ualimu, Upolisi na magereza kwenye mishahara ya laki nne au tano BILA POSHO WALA MARUPURUPU.

Ifike hatua sisi wananchi tusio na ndugu au jamaa wa kutubeba tukemee na kulaani tabia hii ya VIONGOZI WA CCM.

Inauma sana kuona kuwa Nchi yetu sote ila maslahi mazuri ni ya kwao wao tu.

Nina huzuni kuu moyoni.

BAADHI YA MA DAS WAPYA.
HONGERENI SANA.
Geofrey Moses Nauye
Justice Lawrance Kijazi
Shauri Selenda Msuya
Neema Michael Magembhe
John Kulwa Mgalula
Ramadhani Salmin Possible
James Godfrey Mkumbo
James Francis Chalamila
Ruth John Magufuli
Fatima Said Kubenea
Pendo Daniel Ndumbaro
Nahitaji watu tufanye mapunduzi
 
Actually kwa haraka haraka nimeona Vijana 22 watoto wa viongozi wakipewa nafasi, hii inamaanisha kuwa serikalini nafasi na ajira zipo ila ni kwa watu maalumu na wanaojulikana. Je, wewe ni maalumu na unajilikana na viongozi? Kama sio basi ni vema ukaongeza bidii katika kazi zako vinginevyo hiki ni kichocheo cha hasira ya jamii dhidi ya serikali. Mapinduzi huanza kwa Mzaha, upinzani hii ni hoja muhimu kuirekebisha serikali. Nakumbuka 2015 Ajira za Uhamiaji zilifutwa baada ya Zito Zuberi Kabwe kuibua Nepotism ya kiwango cha SGR kwa walishinda usahili wakati ule na ngoma ikarudiwa.
Nafasi za uteuzi mara nyingi huwa hazina justification; muhimu aliyekuteua anaona unafaa basi, ndio inaishia hapo.
 
Back
Top Bottom