To wise men like you Nguli na mimi Sipo na wengineo hili ni tukio baya sana kumfanyia mwanamke sembuse mkeo unayempenda kwa dhatiAm speechless. Pole sana Babra.
Well said..siamini katka mapenzi ya ukatili huu kwamba mwanamke hana haki ya kuhoji?? Then ni kukaa pamoja au wawili wapendanao?? And iam so dissapointed kwa wale wanaofikiri kuzuia kugusa simu ya mwenzio ndo solution ya ndoa??? Kuhalalisha kucheat?? Au nidhamu ya kijinga hii??To wise men like you Nguli na mimi Sipo na wengineo hili ni tukio baya sana kumfanyia mwanamke sembuse mkeo unayempenda kwa dhati
Kwenye hizo sehemu nilizohighlight ni sehemu ambazo tusipokuwa makini hakika mahusiano yetu yatakuwa magumu siku zote. hili ni tukio baya sana kwa wanaume na linatudhalilisha sanaWell said..siamini katka mapenzi ya ukatili huu kwamba mwanamke hana haki ya kuhoji?? Then ni kukaa pamoja au wawili wapendanao?? And iam so dissapointed kwa wale wanaofikiri kuzuia kugusa simu ya mwenzio ndo solution ya ndoa??? Kuhalalisha kucheat?? Au nidhamu ya kijinga hii??
And some proudly wanaropoka marufuku my wf kugusa simu yangu???omw...
Halafu Babra,hao ndugu wana muda gani katika ndoa yao???,wana watoto??..Kama vp ni heri aachane na huyo jamaa(talaka) maana kinachoonekana so far ni kwamba mapenzi ya jamaa kwa mkewe tayari yameexpire so ni bora rafikiyo akachukua tu ustaarabu wake maana inakoelekea jamaa anaweza kuja kumuua siku moja(kama amaediriki kuondoka na kwenda kuskojulikana ilhali mkewe yu mgonjwa mahututi kazirai na mimba imeharibika ni dhahiri kwamba mapenzi ya huyu bwana kwa mkewe yamekwisha)
NB
Nadhani hili pia ni fundisho kwa wanandoa/wapenzi katika suala zima la privacy kwenye mambo ya mobile phones na barua pepe(e mails),tuwe waangalifu kwa kweli na ni bora tukaheshimu privacy za wenza wetu...Pia daima tuwe waaminifu katika ndoa zetu/mahusiano yetu
ni frnd wangu wa kufa na kuzikana, ni yeye kila cku alikuwa ananicctiza kutoshika/jali cm ya mr akinisihi kama napenda nikae kwenye ndoa kwa amani nicjihucshe na mambo ya cm ya mr kama yeye anavyoiogopa cm ya mr wake, cjui juzi kitu kama kimemuingia wapo supermarket mr kasahau fone kwenye gari akasema ngoja niperuzi akakutana na msg ya kwanza kutoka kwa "my han' ndivyo ilivyoseviwa hivyo na msg ilkuwa inasema "my han naomba ukija upitie supermarket unichukulie vitu vya ndani vimeniishia".....mr karudi kwenye gari mke kamuuliza vizuri tu kuna mtu umem save my han, ni nani huyu mume wangu, mume hakujibu lolote kawasha gari mpaka home kufika kamkung'uta mke wake ipasavyo,, akawasha gari kaondoka bila maelezo yoyote na mpaka sasa hajulikani alipo, jana asubuhi frnd ndio ananical ananieleza yote haya, ana mimba ya miezi 4 akaniambia ameona kitu kama period hivi nikamwambia wahi hosp itakuwa ni mshtuko wa kipigo, namaliza kuongea nae housegal wake ananical ananimabia "dada" amezimia, kumbe alipigwa vibaya ameumia ndani kwa ndani sehemu za kichwa yupo kcmc amelazwa hajitambui na mimba imetoka, ndio nipo naelekea moshi kumuona.....hebu mniambei jamani tunakoelekea na hizi ndoa....nimebakia kulia tu nikiomba mungu nimkute salama....waume zutu hivi mnataka tuwafanyie lipi jema kwenu jamani, mliooa humu hebu niambieni kosa la huyu mdada kupata kipigo kikali hivi ni nini?
Na ikiwa fiction, utakuwa umetuibia mawazo yetu Babra!.
How come mwanaume timamu ukamrukia mkewe wa ndoa (tena mja mzito) kwa sababu ameshika simu yako na kukuta jina "han" tu?...nahitaji details zaidi ili kuchangia, may b upande wa pili haujapewa fursa zaidi wa kusikilizwa. Babra, mleta stori hii amejieleza kuwa yeye ni rafiki kipenzi wa wa mwathirika (mwanamke wenzie).
Babra anasema yeye ameelezwa tu kwa hiyo hajui undani zaidi ya yale aliyoelezwa, hapaswa kutoa hukumu wala kujenga hoja kuwa huyo mwanaume hafai kabisa kabsa hajafika hapo kwenye eneo la tukio na kujua undani wa haya.
Be Careful Babra!.