choza choza
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 2,081
- 3,831
Yaap walisema wasizidi watano kwenye timu moja, kwa mara ya mwishoHii michuano ilikua inaleta hamasa sana. Wairudishe asee ila Wachezaji wa Ligi kuu iwe mwisho watatu tu.
Kaka vipaji vilivyoibuliwa leo vimebaki vingapi uwanjani?Hii michuano ilileta sana msisimko kipindi kile na kuibua vipaji.
Je, imepotelea wapi?
TFF inampango gani na kuirudisha michuano hii?
Vilishapita maana hakuna michuano mipya iliyochezwa hivi karibuni, huendatungekua na vipaji vingi zaidi ingeendelea kuwepoKaka vipaji vilivyoibuliwa leo vimebaki vingapi uwanjani?
Duuh😂😂😂Baada ya Jiwe kuingia madarakani biashara nyingi zilishuka makampuni mengi hayakuwa yakipata faida tena, mmoja wapo ni hawa wadhamini cocacola, mambo ya kibiashara yaliwaendea kombo wakaachana na udhamini.
Mbona hata kabla ya jiwe ilishapotea hii michuanoBaada ya Jiwe kuingia madarakani biashara nyingi zilishuka makampuni mengi hayakuwa yakipata faida tena, mmoja wapo ni hawa wadhamini cocacola, mambo ya kibiashara yaliwaendea kombo wakaachana na udhamini.