Imetimia miaka 27 tangu Rwanda ilipokombolewa na majeshi ya RPF

Imetimia miaka 27 tangu Rwanda ilipokombolewa na majeshi ya RPF

kayaman

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2013
Posts
4,516
Reaction score
10,423
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, utawala wa RPF chini ya Paul kagame umefanya mpinduzi makubwa sana ya kimaendeleo kwenye nchi ya Rwanda.

IMG_20210705_124315.jpg
IMG_20210705_124319.jpg
IMG_20210705_124324.jpg
IMG_20210705_124109.jpg
IMG_20210705_124121.jpg
IMG_20210705_124116.jpg
IMG_20210705_124106.jpg
IMG_20210705_124008.jpg
IMG_20210705_124014.jpg
IMG_20210705_124024.jpg
IMG_20210705_124019.jpg
IMG_20210705_124213.jpg
IMG_20210705_124148.jpg
IMG_20210705_124143.jpg


Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
 
Tanzania maendeleo ni mchakato lakini viongozi na watawala wa dola, bunge na mahakama wamejiwekea sheria za kuwafanya wawe mabilionea kwa haraka. Hawataki katiba itakayowahoji kulikoni nyie ni mabilionea kwenye nchi maskini?

Wenzetu inakuaje mnajilikisha mishahara minono, magari mazuri,ardhi kubwa, nyumba za serikali na makampuni ya ujenzi ni yenu kwa mgongo wa serikali?

Vyama vilivyopigania uhuru na watu wake walikua ni wabinafsi sana. Wale waliofanikiwa kutolewa na kuondosha vizazi vile vyenye huloa za Kikoloni walifanikiwa sana.

CCM ni adui wa Uhuru,haki na maendeleo ya wote.

Wamejimilikisha mazuri ya nchi kwa mgongo wa uzalendo huku kundi kubwa likiwa halijui miaka 50 wataishi wapi na kwa uchumi upi?
Watu ni wabinafsi zana ndani ya CCM na dola lake. Wanaua watu kulinda madaraka na mali zao.
 
Rwanda ni sawa na mkoa mmoja ndani ya Tanzania, hivyo ni rahis kupata maendeleo ya haraka.
 
Kiukweli Rwanda wako vizuri japo sina uhakika katika uhalisia wa maisha katika nyanja zote za maisha ie kijamii,kiuchumi, kisiasa,sayansi na tekinaolojia ukilinganisha na picha tunazoziona.

Kwa uzoefu uongozi wa kiafrika unatabia za kutengeneza kikundi cha watu wachache wakila mema ya nchi na wananchi walio wengi kupigika
 
Tanzania maendeleo ni mchakato lakini viongozi na watawala wa dola ,bunge na mahakama wamejiwekea sheria za kuwafanya wawe mabilionea kwa haraka. Hawataki katiba itakayowahoji kulikoni nyie ni mabilionea kwenye nchi maskini?
Wenzetu inakuaje mnajilikisha mishahara minono,magari mazuri,ardhi kubwa ,nyumba za serikali na makampuni ya ujenzi ni yenu kwa mgongo wa serikali?

Vyama vilivyopigania uhuru na watu wake walikua ni wabinafsi sana . Wale waliofanikiwa kutolewa na kuondosha vizazi vile vyenye huloa za Kikoloni walifanikiwa sana.

CCM ni adui wa Uhuru,haki na maendeleo ya wote.

Wamejimilikisha mazuri ya nchi kwa mgongo wa uzalendo huku kundi kubwa likiwa halijui miaka 50 wataishi wapi na kwa uchumi upi?
Watu ni wabinafsi zana ndani ya CCM na dola lake. Wanaua watu kulinda madaraka na mali zao.
Masaki na Oysterbay wamewekeza mafisadi ya CCM
 
Kiukweli Rwanda wako vizuri japo sina uhakika katika uhalisia wa maisha katika nyanja zote za maisha ie kijamii,kiuchumi, kisiasa,sayansi na tekinaolojia ukilinganisha na picha tunazoziona.
Kwa uzoefu uongozi wa kiafrika unatabia za kutengeneza kikundi cha watu wachache wakila mema ya nchi na wananchi walio wengi kupigika
Utaishi kwa amani Rwanda ukilitaja jina la Kagame kwa mazuri.
 
Miaka 60 sisi tunahangaika na matundu ya vyoo vya wanafunzi pamoja na madawati. Rwanda wanahangaika na laptop kwa kila mtoto.
 
Masaki na Oysterbay wamewekeza mafisadi ya CCM


CCM na serikali yake Waliiba pesa za ukarabati wa nyumba za serikali . Badala ya kuwakamata wezi wakawauzia wezi nyumba kwa bei ya kutupa . Kiwanja Masaki kina bei mara 50 ya bei waliojiuzia nyumba hizo .
Ni kielelezo tu cha ubinafsi wa Watawala na Mabeberu weusi .
NHC na Suma JKT zimekua kama mali za wakubwa huko juu mana hazina msaada wowote kwa wananchi wa chini. Hatuoni wakijenga nyumba hata za mikopo ya bei nafuu au hata kuwapangishia maskni kwa bei nafuu.
Wanawaza kuiba na kujenga majumba ya kupangishia maskini kwa kodi kubwa.
Hospitali inajengwa bila nyumba za wafanyakazi ili wakapange kwenye nyumba zao halafu utegemee nesi asichukue Rushwa ili akajenge kwake aondokane na Ukabaila wa Mabeberu waliopora Madaraka na rasilimali za umma kwa manufaa yao.
 
Yeah na yule mzee yuko vizuri kwenye propaganda pia kuthibiti taarifa zinazohusu Rwanda kutoka nje Kama alivyokua anafanya mwendazake kuhakikisha anasifiwa kuanzia asubuhi mpaka jioni
Anadhibiti vipi taarifa wkt Kuna internet na watu wengi Wana access za internet(kabla ya Corona wakifanya kampeni ya kila mwananchi asiye na uwezo wa kua simu kununuliwa Simu ya mkononi yenye internet na kampeni ilienda vzr kabla ya kukatishwa na Corona) Na juzi mama Samia amesema kwny mambo ya tech au internet huko Rw wametuzidi.Sijawahi kuwasikia hata wakilalamika kutumia VPN Kama sisi.
 
Hongera zao

Kagame ameisaidia sana Tanzania toka ashike hajazalisha wakimbizi was kuja Tanzania .Wakati huko nyuma kabla ilikuwa kutwa kupokea wakimbizi
 
Back
Top Bottom