dah mpe pole..Sasa kilichonifanya ni lete uzi huu hapa ni jamaa mmoja ambaye huwa yupo kimya sana katika mjadala wa leo ameangua kilio cha nguvu huku akilaani serikali kuwa .
MUNGU atawalaani yani jamaa kalia kweli mpaka ikabidi mjadala uhaireishwe ila watu walimwonea huruma sana. Wengine wakaseama yasije yakatokea ya misri jamaa akajiua.
Unajua maana ya Kijiwe!? Ama unajiandikia ka nani vileUmegeuza ofisi kuwa kijiwe! Fanya kazi ndg yangu
Hapana, aende kwa PM.. atamfaa wakati wa maswali ya papo kwa hapo...Hahahaahh apelekwe bungeni akalilie kule....!!
Inaonekana jamaa ana hisia Kali mpaka analia ujue kuna jambo
Kama mnavyojua kwa sasa mijadala juu ya bunge la katiba imepamba moto sana kila kona watu wanajadili bunga la kitiba nasi katika kijiwe chetu hapa ofisini mjadala ulikuwa mkali kuhusu gharama za ukarabati wa bunge na wabunge kudai nyongeza ya posho.
Sasa kilichonifanya ni lete uzi huu hapa ni jamaa mmoja ambaye huwa yupo kimya sana katika mjadala wa leo ameangua kilio cha nguvu huku akilaani serikali kuwa .
MUNGU atawalaani yani jamaa kalia kweli mpaka ikabidi mjadala uhaireishwe ila watu walimwonea huruma sana. Wengine wakaseama yasije yakatokea ya misri jamaa akajiua.
Kama mnavyojua kwa sasa mijadala juu ya bunge la katiba imepamba moto sana kila kona watu wanajadili bunga la kitiba nasi katika kijiwe chetu hapa ofisini mjadala ulikuwa mkali kuhusu gharama za ukarabati wa bunge na wabunge kudai nyongeza ya posho. Sasa kilichonifanya ni lete uzi huu hapa ni jamaa mmoja ambaye huwa yupo kimya sana katika mjadala wa leo ameangua kilio cha nguvu huku akilaani seriki kuwa .
MUNGU atawalaani yani jamaa kalia kweli mpaka ikabidi mjadala uhaireishwe ila watu walimwonea huruma sana. Wengine wakaseama yasije yakatokea ya misri jamaa akajiua.
Ungeanza na magogoni ambako nyumba imegeuzwa ya soga una hasira kama vile kuna tija ya kufanya kazi utafanya kazi wakati IKULU imebomoa mfumo wa utendaji kazi kabisa waache waendelee kupiga soga tuu maana sasa wenye nacho ndio wazidishiwaoNo wonder hii nchi haiendelei wala kupiga HATUA...yani hiyo ofisi kuanzia boss wenu ni ma "bogus" kabisa. baada ya kufanya kazi mnakaa vijiwe vya siasa ofisini, tena mapema namna hii afu bila aibu unaleta uzi hapa?? seriously???
nafafanua kwa nini hiyo ofisi wote ni " gabbage"
Then utakuta watu kama nyie mnaanza kupiga makelele ya fulani fisadi, fulani fisadi,.....huo mnaofoanya ni ufisadi mkubwa kwani mnamuibia mwajiri wenu "his quality time" huku mwisho wa mwezi mnakinga matumbo yenu na midomo katika pesa zake.
- mjadala mpaka kufikia mtu kuangua kilio inamaana ulikua wa sauti ya juu..sasa ofisi nzima hamna hata mtu aliyejitokeza kuwaonya na kuwakumbusha kua si mahali pake.
- boss wenu, mwenye jukum la kusimamia utendaji iweje anaacha ofisi kuwa kijiwe cha siasa
- nyinyi mnaofika ofisini kuanza mijadala,mlipewa JD kweli mlipoajiliwa?? na je kama mlipewa kuna popote panatoa nafasi ya kutumia muda wa ofisi kwa mijadala???tena ya siasa
SHAME on you shameless guy, ur not even ashamed to share your stupidity...i doubt if you are educated anyway.
umenichukiza sana..afu unategemea CHADEMA na CCM wakuletee maendeleo...wimp!!!!!!!!!!!!!!
kama huyu wa yanga...Inaonekana jamaa ana hisia Kali mpaka analia ujue kuna jambo
No wonder hii nchi haiendelei wala kupiga HATUA...yani hiyo ofisi kuanzia boss wenu ni ma "bogus" kabisa. baada ya kufanya kazi mnakaa vijiwe vya siasa ofisini, tena mapema namna hii afu bila aibu unaleta uzi hapa?? seriously???
nafafanua kwa nini hiyo ofisi wote ni " gabbage"
Then utakuta watu kama nyie mnaanza kupiga makelele ya fulani fisadi, fulani fisadi,.....huo mnaofoanya ni ufisadi mkubwa kwani mnamuibia mwajiri wenu "his quality time" huku mwisho wa mwezi mnakinga matumbo yenu na midomo katika pesa zake.
- mjadala mpaka kufikia mtu kuangua kilio inamaana ulikua wa sauti ya juu..sasa ofisi nzima hamna hata mtu aliyejitokeza kuwaonya na kuwakumbusha kua si mahali pake.
- boss wenu, mwenye jukum la kusimamia utendaji iweje anaacha ofisi kuwa kijiwe cha siasa
- nyinyi mnaofika ofisini kuanza mijadala,mlipewa JD kweli mlipoajiliwa?? na je kama mlipewa kuna popote panatoa nafasi ya kutumia muda wa ofisi kwa mijadala???tena ya siasa
SHAME on you shameless guy, ur not even ashamed to share your stupidity...i doubt if you are educated anyway.
umenichukiza sana..afu unategemea CHADEMA na CCM wakuletee maendeleo...wimp!!!!!!!!!!!!!!
Ndugu mbona povu linakutoka sana au mzazi wako yupo Dom anadi posho nini. Labda nikupe uelewa kidogo si kila ofisi wanafanya kazi masaa yote sisi ni kitengo cha Matengenezo. Hapa ofisini kuna draft na kuna karata kama hakuna kutu kilichaharibika tunacheza draft na kupiga story tu na wala hatuvunji sheria yoyote. Haya umeelewa sasa meza mate au unywe maji ushushe jazba. Tafakari kabla ya kukurupuka kusema.
Isije kua ni yule shabiki wa yanga..tano bilaaaaaInaonekana jamaa ana hisia Kali mpaka analia ujue kuna jambo