IMF: Tanzania Rapidly Closing its Economy gap with Kenya

Which glory did you lost? weka humu nione?, hakuna mahali pa maana ambapo mmekua ama jambo la kipekee amabalo mumefanya hakuna! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],
Bado ndio mna jaribu kuamka[emoji23][emoji23][emoji23]
LOL don't you knew that we once had the unblemished greatness, quite flawless than what you are struggling now to fake it?

The block super powerful. 🇹🇿🇹🇿👌
 
You must be smart enough to understand my point.
Try your good maths...after how many years will the two be equal?
And that the point.
Remwmber Taqnzanian growth rate for 2020 was projected at 4.9% while Kenya`s was at 5.6%
 
Huko border tunapima au hatupimi?
Tunarudisha positive Tanzanians ama haturudishi?
Tumefunga border ama hatujafunga?

Tanzania can`t tell Kenya anything to do. You were only sweet talked alafu tukaendelea with our intentions.
Nioneshe border iliyofungwa, mtanzania mliempima na kumrudisha 😁😁😁

Sweet talked for pleasing who and why? Lol that only shows who's the boss
 
Huko border tunapima au hatupimi?
Tunarudisha positive Tanzanians ama haturudishi?
Tumefunga border ama hatujafunga?

Tanzania can`t tell Kenya anything to do. You were only sweet talked alafu tukaendelea with our intentions.
Nioneshe border iliyofungwa, mtanzania mliempima na kumrudisha 😁😁😁

Sweet talked for pleasing who and why? Lol that only shows who's the boss
 
Hehe ngojeni muone...Tupeni miaka 10 hivi
Tuliambiwa tumpe JPM siku 100 mtatupiku, ila hatamu ya kwanza inaisha miaka mitano, anakuja kwenu mumpe mingine mitano hehehe
Hapa naskliza wimbo wa Diamond, mdada humo anauliza "unajifunza ngumi leo unataka kupigana na Tyson".... ujumbe kuntu kwenu nyie watu.
 
Nioneshe border iliyofungwa, mtanzania mliempima na kumrudisha 😁😁😁

Sweet talked for pleasing who and why? Lol that only shows who's the boss
Utaonyeshwaje na uko busy kuchinja albino?
 
Utaonyeshwaje na uko busy kuchinja albino?
Kapike mawe huko!
Hamna ubavu wa kuifungia Tanzania mpaka wa kuingia kwenye danguro lake, Kenya ni danguro letu 😁😁😁🇹🇿🇹🇿😊
 
I think I am experiencing de ja vu! 2011 kulikua na story kama hii, ilikua inasema Tanzania itaipiku Kenya by 2025...



Anyway, Wachana na huko mbali enzi za 1970s twende tu na juzi juzi


2009 GDP, Kenya ilikua $37B Tanzania $28B ... Tofauti ilikua tumewaacha na $9B



miaka kumi baadae 2019 GDP, Kenya $98B Tanzania GDP $62B .. Tofauti $36B!!! gap inazidi kupanuka





Projections za GDP by IMF hadi 2024 , Kenya $154B.. Tanzania $92B.... Gap itakua ni $62B sawa na GDP yenu yote ya mwaka wa 2019






https://www.imf.org/external/datamapper/NGDPD@WEO/KEN/ETH/RWA/TZA/UGA




Sasa sijui ni miujiza gani mtaperform ndo mpunguze hii gap hadi mtupite kama bado sote tuko hai, The only way mnaeza kupunguza hio gap kwa mda mfupi ni labda Kenya tusimame kabisaaa! kwa mfano tuwe na vita na nchi nyengine au kuwe na ukame mkali wa miaka mitaano mfululizo.... Lakini kukiwa hakuna janga kubwa sioni vile mtatupiku hivi karibuni
 
Ngoja kwanza mambo mazuri hayataki haraka hayo.Tulianza na utalii,tumewapiga gepu mbaya last year!!! Then nao ni madini sasa...Majuzi tumevuna pesa almost sawa na mliyokopa nyie IMF..Tukitoka hapo tunaingia miundombinu,yaani mwendo ndo huo mwendo mdundo..Halafu watu ka nyie mkija shituka basi ni too late.
Huo wimbo wa Mondi kasikilize na Mganda maana ndo wanajaribu kuwatunishia kifua sahivi 🤣 🤣
 
Nioneshe border iliyofungwa, mtanzania mliempima na kumrudisha 😁😁😁

Sweet talked for pleasing who and why? Lol that only shows who's the boss
Sasa utaonaje ukiwa hapo uwanja wa fisi sijui Tandale, hata kijijini hujawahi toka...jikite kwenye kiwango chako...kalb hayawan.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…