IMF waipongeza Tanzania kwa Uchumi wake kuhimili deni kwa 47% wakati Kenya wao ni 70 Rwanda ni 71

IMF waipongeza Tanzania kwa Uchumi wake kuhimili deni kwa 47% wakati Kenya wao ni 70 Rwanda ni 71

CM 1774858

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2021
Posts
5,621
Reaction score
5,029
Sijajua ni kwanini Watanzania kuna wakati huwa tunajidharau bila ya kuwa na sababu zozote za msingi hasa pale tunapojihisi hatufanyi vizuri bila ya kuwa na data Wala taarifa yoyote.

Sasa, Ukiangalia vizuri data hizi za Bw David Kafulila sisi Tanzània tuko salama zaidi kiuchumi ukitulinganisha na majirani zetu.

Ukweli usiopingika ni kwamba juhudi zinazofanywa na Rais wetu Dkt Samia Suluhu Hassan mwangwi wake ni mkubwa karibu kila Kona ya duniani na wale tuliokuwa na mashaka juu ya ukopaji wetu kwa taarifa hii tutembee kifua mbele hali yetu ni nzuri na kama takwimu zinavyoonesha kwani sote tunafahamu namba siku zote hazidanganyi.

Namshukuru sana David Kafulila kwa kumsemea vema Rais Dkt Samia Suluhu na Serikali yake pamoja na Waziri wa fedha hasa wakati huu kuelekea 2025 kwani ni hakika tukiwa na mama Ushindi kwetu ni lazima kwa neema za mwenyezi Mungu.

b7d50c425f6a426098bbf1d115e19bc1(2).jpg
 
Ofcz kuna time huwa tunajidharau kuliko uhalisia.
Sijui chochote kuhusu hiyo taarifa kama ninkwel au lah lakini kuna mambo viongozi wetu wana pambana sana, sema tu wanapaswa na wanaweza kufanya zaid ya haya. Uwezo huo upo na tuna kila sababu ya kuwahimiz kwa kuwalaumu na kuonyesha haturidhishwi nao. Inawapa changamoto zaidi
 
Ofcz kuna time huwa tunajidharau kuliko uhalisia.
Sijui chochote kuhusu hiyo taarifa kama ninkwel au lah lakini kuna mambo viongozi wetu wana pambana sana, sema tu wanapaswa na wanaweza kufanya zaid ya haya. Uwezo huo upo na tuna kila sababu ya kuwahimiz kwa kuwalaumu na kuonyesha haturidhishwi nao. Inawapa changamoto zaidi
Uko sahihi kabisa
 
Sijajua ni kwanini Watanzania kuna wakati huwa tunajidharau bila ya kuwa na sababu zozote za msingi.

Ukiangalia vizuri data hizi za Bw David Kafulila sisi Tanzània tuko salama zaidi kiuchumi ukitulinganisha na majirani zetu.

Ukweli usiopingika ni kwamba juhudi zinazofanywa na Rais wetu Dkt Samia Suluhu Hassan mwangwi wake ni mkubwa karibu kila Kona ya duniani na wale tuliokuwa na mashaka juu ya ukopaji wetu kwa taarifa hii tutembee kifua mbele hali yetu ni nzuri na kama takwimu zinavyoonesha kwani sote tunafahamu namba siku zote hazidanganyi.

Namshukuru sana David Kafulila kwa kumsemea vema Rais Dkt Samia Suluhu na Serikali yake kuelekea 2025 kwani ni hakika tukiwa na mama Ushindi kwetu ni lazima kwa neema za mwenyezi Mungu.

View attachment 3179365
Heko mchumi nguli Mwigulu nchemba. Ndo mana akina Lipumba, semboja, mtei nk wanakuogopa kama.ukoma mana wanakujua. Na mama hawezi kukutoa hapo never
 
Uko sahihi kabisa
Mimi siku zote huwa nakataa ile kauli watu husema watazania ni wajinga aasiojitambua na wanaoburuzwa east africa eti kisa hawaandamani kushinikiza serikali.
Kiukwel sisi tujengewa na kukubal njia ya ustaarab kushinikiza mambo na kuyashughulikia pasipo kusababisha madhara. Ninkama utamaduni wetu kuoima kwanza impact kabla ya kufana jambo na pind inapoonekana madhara yaweza kuwa makubwa bas huwa tunachagua njia mbadala hata kama ina maumivu na ita take time
 
Back
Top Bottom