Immunity

Joined
Jan 7, 2013
Posts
25
Reaction score
27
Kama ni kweli hakuna mtu aliye juu ya sheria inakuwaje Rais akawa na kizuizi cha kushtakiwa anapokuwa Madarakani.....? maana wizi ni kosa la jina ambapo aliyesaidia kitendo cha wizi au kumlinda na kumficha miwzi wote ni wahalifu.. Maoni wajumbe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…