Pre GE2025 Impact ya Heche kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA kwa chama chake

Pre GE2025 Impact ya Heche kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA kwa chama chake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Fundi Mchundo

Platinum Member
Joined
Nov 9, 2007
Posts
10,448
Reaction score
8,705
Uamuzi wa Heche wa kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA unaweza kukisaidia sana chama chake kwa sababu zifuatazo:

1. Hotuba yake imeonekana level heade. Kuingia kwa Heche katika kinyang'anyiro hiki kinafungua milango kwa kuwapa watu option ya kuwapigia kura Mbowe na Heche. Hii ina faida zijayo:

1. Hawatampoteza Mbowe ambae bado watu wengine wanaamini bado anahitajika sana.

2. Kuchaguliwa kwa Heche kutaipa kambi ya Lissu imani kuwa yuko mtu ambae atawasha moto chini ya Mbowe na kukifanya chama kiwe radical zaidi.

3. Sidhani kama Lissu anautaka sana uenyekiti wa CDM. Alifanya uamuzi wa haraka alipoamini kuwa Mbowe anamtumia Wenje kumtoa katika uongozi. Akishindwa, bado atakuwa na nafasi nzuri kugombea mwaka 2030 ambapo bila shaka Mbowe atawajibika kumuunga mkono.

4. Lissu akishindwa atakuwa huru ku focus kwenye uchaguzi wa urais wa JMT ambao ndio hasa anautaka.

5. Kwa vyovyote vile Lissu atakuwa mjumbe wa Kamati Kuu na hivyo ataweza kuisukumiza ajenda zake. Na ataweza kutumia wakati huo kusahihisha madhaifu ya kiongozi ambayo ameshutumiwa kuwa nayo.

6. Mbowe na Lissu watapata heshima kubwa kwa kuzuia mpasuko ambao washindani wao wangeufurahia. Lissu akijitoa na kusema kuwa anafanya hivyo ili kuzuia mpasuko ndani ya chama atapata heshima zaidi na shukrani za dhati za Mwenyekiti wake. Hii itampa nguvu zaidi ndani ya chama. Watu wa Clubhouse watakasirika lakini hawatakuwa na lakufanya.

7. Wenje ataendelea kuwa mjumbe wa Kamati Kuu na kuweka balance dhidi ya radicals.

Wakifanya hivi, CDM itatoka katika mtifuano huu ikiwa imeimarika zaidi na kujiweka katika nafasi nzuri kwa uchaguzi wa mwaka huu.

Amandla...
 
Nimeona clip ambamo Lissu amemuita Mbowe muongo na kusisitiza kuwa ( tofauti na nilivyodhani) anautaka sana uenyekiti. Nahisi hiki kinyang'anyiro kimefika point of no return. Inasikitisha kuwa hawaoni kuwa wakiendelea hivi mwisho wake utakuwa mbaya kwa namna yeyote kwa chama chake.

Labda Lissu akishinda ( kitu ambacho siungi mkono) madhara yatakuwa madogo zaidi kwa sababu sidhani kama Mbowe atasema kuwa ameibiwa. Kwa hali ninayoiona ni kuwa kama Lissu atashindwa atasema ameibiwa na hapo ndipo mpasuko utakuwa mkubwa zaidi.

Amandla...
 
Nimeona clip ambamo Lissu amemuita Mbowe muongo na kusisitiza kuwa ( tofauti na nilivyodhani) anautaka sana uenyekiti. Nahisi hiki kinyang'anyiro kimefika point of no return. Inasikitisha kuwa hawaoni kuwa wakiendelea hivi mwisho wake utakuwa mbaya kwa namna yeyote kwa chama chake.

Labda Lissu akishinda ( kitu ambacho siungi mkono) madhara yatakuwa madogo zaidi kwa sababu sidhani kama Mbowe atasema kuwa ameibiwa. Kwa hali ninayoiona ni kuwa kama Lissu atashindwa atasema ameibiwa na hapo ndipo mpasuko utakuwa mkubwa zaidi.

Amandla...

Nadhani Mbowe alikuwa anataka kustaafu siasa, Ila MFUMO umemsukumiziamo. Maana ni rahisi kwa Samia kufanya kazi na Mbowe kuliko Lissu.

Lissu anao uwezo wa kuradicalize vijana wa nchi hii kukinukisha kweli!.

Asikudanganye eti Watanzania ni waoga, bali huwa wananyimwa mbinu tu za CIVIL DISOBEDIENCE zinazoweza kuiparalyse serikali mpaka ikakubali. Mbowe anazijua hizo civil disobedience moves lakini hajaamua kuziinvoke kwa kuwa yuko in good terms na Samia
 
Nadhani Mbowe alikuwa anataka kustaafu siasa, Ila MFUMO umemsukumiziamo. Maana ni rahisi kwa Samia kufanya kazi na Mbowe kuliko Lissu.

Lissu anao uwezo wa kuradicalize vijana wa nchi hii kukinukisha kweli!.

Asikudanganye eti Watanzania ni waoga, bali huwa wananyimwa mbinu tu za CIVIL DISOBEDIENCE zinazoweza kuiparalyse serikali mpaka ikakubali. Mbowe anazijua hizo civil disobedience moves lakini hajaamua kuziinvoke kwa kuwa yuko in good terms na Samia
Sidhani kama mfumo ndio umemsukumiza Mbowe. Watanzania tunapenda majibu mepesi lakini Mbowe ni mgumu ku deal nae kuliko Lissu.
Uzuri wa hizo civil disobedience zinahitaji mtu uziongoze ukiwa on the ground na sio kwa remote. Mbowe amewasoma wananchi wenzake na anajua mbinu gani zitafanikiwa.
Mimi ningependa kuzijua hizo mbinu mpya za Civil Disobedience ambazo zitawatia mori watanzania hadi kuweza ku paralyse serikali. I hope hatakuwa disappointed.
Kitu kingine ninachojiuliza ni kuwa kwa nini Lissu hazungumzii Bavicha na Bawacha maana hao ndio hasa wataongoza mapambano ya aina yeyote.

Amandla...
 
Back
Top Bottom