johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Inadaiwa hakuna mtu alikuwa anamjua au kufuatilia Siasa za Gachagua hapa Africa Mashariki
Lakini zoezi la impeachment limefanya Rigathi Gachagua afahamike Dunia nzima
Kwa sasa Gachagua Ndiye Mwanasiasa anayeongoza kwa umaarufu nchini kwake
Sabato Njema 😄
Lakini zoezi la impeachment limefanya Rigathi Gachagua afahamike Dunia nzima
Kwa sasa Gachagua Ndiye Mwanasiasa anayeongoza kwa umaarufu nchini kwake
Sabato Njema 😄