johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Atapona au ataliwa ? Huko mbeleni ...? Akirudi kugombea urais atafanikiwa au ndio natural death....Inadaiwa hakuna mtu alikuwa anamjua au kufuatilia Siasa za Gachagua hapa Africa Mashariki
Lakini zoezi la impeachment limefanya Rigathi Gachagua afahamike Dunia nzima
Kwa sasa Gachagua Ndiye Mwanasiasa anayeongoza kwa umaarufu nchini kwake
Sabato Njema π
ni katiba yao mbovu ambayo wameitunga wao wenyewe na hivi sasa kwenye utekelezaji wao wenyewe wanaiona mbaya, ndilo hasa jambo ambalo limewavutia Africa Mashariki kufuatilia kinachoendelea Kenya ...Inadaiwa hakuna mtu alikuwa anamjua au kufuatilia Siasa za Gachagua hapa Africa Mashariki
Lakini zoezi la impeachment limefanya Rigathi Gachagua afahamike Dunia nzima
Kwa sasa Gachagua Ndiye Mwanasiasa anayeongoza kwa umaarufu nchini kwake
Sabato Njema π
Akiwa impeached ndio bas tena katika kujihusisha na siasa..Atapona au ataliwa ? Huko mbeleni ...? Akirudi kugombea urais atafanikiwa au ndio natural death....
Anaongoza kwa kung'olewa sio?π€£Inadaiwa hakuna mtu alikuwa anamjua au kufuatilia Siasa za Gachagua hapa Africa Mashariki
Lakini zoezi la impeachment limefanya Rigathi Gachagua afahamike Dunia nzima
Kwa sasa Gachagua Ndiye Mwanasiasa anayeongoza kwa umaarufu nchini kwake
Sabato Njema π
Amekimbilia mahakamaniAkiwa impeached ndio bas tena katika kujihusisha na siasa..
But pia akiwa impeached Lazima atakamatwa mara moja na kupelekwa mahakamani kujibu tuhuma zilizosabababisha kubanduliwa kwake...
Nadhani atajiuzulu na kisha kukimbilia uhamishoni π
Shikamoo Raila Odinga πππni katiba yao mbovu ambayo wameitunga wao wenyewe na hivi sasa kwenye utekelezaji wao wenyewe wanaiona mbaya, ndilo hasa jambo ambalo limewavutia Africa Mashariki kufuatilia kinachoendelea Kenya ...
Gachagua anajulikana county ya Nyeri tu, na kwa sehemu kidogo sana maeneo machache mount Kenya...
hata hivyo,
tuhuma zinazomkabili ni nzito mno na matokeo yake ndicho hasa kinachosubiriwa kwa hamu na gamu.π
Ruto anaigilizia Siasa za Shujaa Magufuli lakini zimemshinda ππAnaongoza kwa kung'olewa sio?π€£
anatuhuma 9 nzito zinazomkabili,Amekimbilia mahakamani
Zoezi litaendeleaKwani imefanikiwa ngoma imebuma
Kama CCM ilivyompandisha ndugu yetu Mwakubusi. Hakuna aliyekua anamfahama Ila CCM walimuweka ndani na watu maarufu, walipoona umaarufu wake unapungua, wakamuwekea pingamizi. Sasa hivi Ni rais wa TLS.Inadaiwa hakuna mtu alikuwa anamjua au kufuatilia Siasa za Gachagua hapa Africa Mashariki
Lakini zoezi la impeachment limefanya Rigathi Gachagua afahamike Dunia nzima
Kwa sasa Gachagua Ndiye Mwanasiasa anayeongoza kwa umaarufu nchini kwake
Sabato Njema π
Limebuma wananchi kwa county zote zilizotakiwa kupiga ya maoni ,zimegoma county 10 zaidiZoezi litaendelea
BAK Mwabukusi atagombea kule kwao Busokelo kwa yule Mbobezi wa Sayansi duniani Prof Mark aka Mzee wa Kyoto ππKama CCM ilivyompandisha ndugu yetu Mwakubusi. Hakuna aliyekua anamfahama Ila CCM walimuweka ndani na watu maarufu, walipoona umaarufu wake unapungua, wakamuwekea pingamizi. Sasa hivi Ni rais wa TLS.
SASA hivi anasubiri kuchukua fomu ili achukue Jimbo la Mbeya mjini mwakani kiulaiiini.
Wangekuwa na katiba mbovu sidhani hata kama wangekuwa na uwezo wa kushtaki viongozi, kabla ya katiba hii ya sasa walikuwa na katiba iliyofanana na yetu, wakabadili kipindi cha kibakini katiba yao mbovu ambayo wameitunga wao wenyewe na hivi sasa kwenye utekelezaji wao wenyewe wanaiona mbaya, ndilo hasa jambo ambalo limewavutia Africa Mashariki kufuatilia kinachoendelea Kenya ...
Gachagua anajulikana county ya Nyeri tu, na kwa sehemu kidogo sana maeneo machache mount Kenya...
hata hivyo,
tuhuma zinazomkabili ni nzito mno na matokeo yake ndicho hasa kinachosubiriwa kwa hamu na gamu.π
Mbeya mjini anamuachia Sugu?BAK Mwabukusi atagombea kule kwao Busokelo kwa yule Mbobezi wa Sayansi duniani Prof Mark aka Mzee wa Kyoto ππ
Rais wa Mabunge ya Dunia mh Dr Tulia Mwansasu PhD πMbeya mjini anamuachia Sugu?
Zakayo ni tapeli, anaandaa mpango muswada upelekwe bungeni ili kuongeza muda wa term ya urais kutoka 5 iwe 7. nachelea huku wanaweza kucopy na kupaste.Inadaiwa hakuna mtu alikuwa anamjua au kufuatilia Siasa za Gachagua hapa Africa Mashariki
Lakini zoezi la impeachment limefanya Rigathi Gachagua afahamike Dunia nzima
Kwa sasa Gachagua Ndiye Mwanasiasa anayeongoza kwa umaarufu nchini kwake
Sabato Njema π
sasa kama ni nzuri iweje wanapambana nayo tena π€£Wangekuwa na katiba mbovu sidhani hata kama wangekuwa na uwezo wa kushtaki viongozi, kabla ya katiba hii ya sasa walikuwa na katiba iliyofanana na yetu, wakabadili kipindi cha kibaki