Hukusikiliza budget ya waziri Mkuya? Wanasema magari machakavu ndio yanaongeza ajali nchini but in real sense barabara zetu ndio zinaleta ajali.. walitakiwa kusema wanaongeza vyanzo vyya mapato na sio kutumia gia ya ajali kama kigezo
Barabara mahandaki matupu.. gri unaagiza Japan ikiwa na Km 100,000 na bado nzima kabisa ukiiendesha tanzania km 3000 tu inakua scrapper na bado watu wanakwambia shida ni umri wa magari tunayoagiza!! Sheeeeeeeeeenzy sana nchi hii manina