In 1914 Henry Ford doubled the salary of his employees from £2

In 1914 Henry Ford doubled the salary of his employees from £2

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1635653875432.png
 
Miaka 1960s wakati tunapata uhuru miji ya China ya Singapore, ya Korea, ya UAE, ilikua haina tofauti na miji ya Dar es salam, Mwanza Morogoro, Arusha na Siginda, Tanzania elishawahi kutoa misaada ya chakula kwa nchi za uarabuni, na Korea miaka hiyo.....sasa miaka ya 2000s hi miji ni tofauti kabisa, kweli na amini uchawi upo!!!!!!!
 
Miaka 1960s wakati tunapata uhuru miji ya China ya Singapore, ya Korea, ya UAE, ilikua haina tofauti na miji ya Dar es salam, Mwanza Morogoro, Arusha na Siginda, Tanzania elishawahi kutoa misaada ya chakula kwa nchi za uarabuni, na Korea miaka hiyo.....sasa miaka ya 2000s hi miji ni tofauti kabisa, kweli na amini uchawi upo!!!!!!!


Kwani nani amewaloga??!!
 
Miaka 1960s wakati tunapata uhuru miji ya China ya Singapore, ya Korea, ya UAE, ilikua haina tofauti na miji ya Dar es salam, Mwanza Morogoro, Arusha na Siginda, Tanzania elishawahi kutoa misaada ya chakula kwa nchi za uarabuni, na Korea miaka hiyo.....sasa miaka ya 2000s hi miji ni tofauti kabisa, kweli na amini uchawi upo!!!!!!!
Wachawi akina nani sasa; sisi tuliodumaa au hao wenzetu waliotupita?
 
Kweli wachawi ni ccm. Bila hao tungekuwa sawa na South Korea au South Africa
Ccm ni laana
 
Back
Top Bottom