Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
safi sasa kama kilakitu kimeandikwa adi mwisho sasa huyo aliandika ndo ana present past and future NA SIO WW UNAISHI KWA KUFUATA MANDISHI HAYOMzee napinga unaweza kuona future. Ushuhuda kipindi nipo kidato cha pili niliota niko maeneo na mtu simjui majengo siyajui tunapiga story baada ya kuingia Chuo miaka 5 nimekaa na jamaa yangu nakumbuka nimewahi ota niko apo kumbe yale mazingira ni ya Chuo. Kila kitu unachopitia kimeandikwa adi mwisho wako Amini.
aahh movie tena hakuna movie hapo mkuuDogo movie zinakudanganya Sana'a hasa hao wakina avatar mambo ya miaka 10 iliyopita we ndo unaanza kuyaentertain Leo
kilanza kwenye reams zingine ambazo sio 3D ambazo zipo na mtu wa 3D aka frequency kama idea ndo likajegwaSo nnapopita pale ubungo ,ile flyover ilishajengwa zamani?hapa huwa sielewi
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hao wakina avatar ndo umeanza kuwatizama juzi nn?aahh movie tena hakuna movie hapo mkuu
kama kuna kitu kina ukweli ivisafi sasa kama kilakitu kimeandikwa adi mwisho sasa huyo aliandika ndo ana present past and future NA SIO WW UNAISHI KWA KUFUATA MANDISHI HAYO
Na hao wakina avatar ndo umeanza kuwatizama juzi nn?
matrix sometime is sound goodkama kuna kitu kina ukweli ivi
ongeza sauti kidogo(nyama)there is no future but present
ulishawahi kusikia msemo wa "ni mipango ya Mungu"ongeza sauti kidogo(nyama)
Hii kitu imewahi kunitokea kwenye ndoto .Is it coincidence? Hapana details zimefanana sana kati ya ndoto na tukio la baadaye .Nadhani binadamu tunayo uwezo wa kufungua pathway / mechanism to the future tatizo mbinu imetuponyoka.Mzee napinga unaweza kuona future.
Ushuhuda kipindi nipo kidato cha pili niliota niko maeneo na mtu simjui majengo siyajui tunapiga story baada ya kuingia Chuo miaka 5 nimekaa na jamaa yangu nakumbuka nimewahi ota niko apo kumbe yale mazingira ni ya Chuo. Kila kitu unachopitia kimeandikwa adi mwisho wako Amini.
kungekuwa na future basi kifo kingedhibitiwaongeza sauti kidogo(nyama)
good.do you think how kifo kingedhibitiwakungekuwa na future basi kifo kingedhibitiwa
Unazungumzaje juu ya imaginationkungekuwa na future basi kifo kingedhibitiwa
kifo kingedhibitiwa iwapo mtu atajua sababu ya kifo chake.Unazungumzaje juu ya imagination