what did you do to the guy which is so special, that has made him to be in touch with you always?
No, nilazima kuwe na base, that's why i have asked you ni kitu gani ulikuwa unamfanyia apart from sex! just share with me!Being special to someone,c lazima sex.kip that in mind.
alikusaliti vipi wakati chezo hujawahi mpa?
Mapenzi ya kisasa yako complicated mno, mie hata sijui nikushauri nini.
Ila kwa magazijuto ya haraka haraka, ulidhani humpi chezo afu akae tu anakusubiri hadi siku ya ndoa ambayo wala haijawahi ongelewa?
Mi mzima ma dia...unaona jicho lilivyonitoka??unataka kupasuka kichwa bure.
Hujambo lakini??
Umepona red eyes?
Mi mzima ma dia...unaona jicho lilivyonitoka??
Niache kwanza, nipo na marida!!
No, nilazima kuwe na base, that's why i have asked you ni kitu gani ulikuwa unamfanyia apart from sex! just share with me!
He must be missing something from you.
hahaha...lazima ujidai kijana wa ukweli..full ma upanga na maobey!haya endelea, hapo ni story tu usiku unaenda kula kinondoni makaburini.
Ila full mastory na mahug.
Big up-gud and wise girl,I have never slept with him.
ooh, basi kumbe mlikuwa ndio mnaanza uhusiano cuz hizo ni preliminary stages in relationship!To be honest.have no idea,sijui anamic nini.May b my text,calls,advice,and my coy.but kwenye sex hatukufika bado.
hahaha...lazima ujidai kijana wa ukweli..full ma upanga na maobey!
Kuna watu huwa wanaunganisha sana dala dala pale posta...akiagana na kadem chake anapanda za masaki, then mbele anashuka napanda za kwao mwananyamala!!
hope ur da one who is not understand!.
ooh, basi kumbe mlikuwa ndio mnaanza uhusiano cuz hizo ni preliminary stages in relationship!
Kama anakupenda kweli asingekuacha, ni ngumu sana kumuachia hivi hivi mwanamke unayempenda!
Huyo alikuwa anataka kupita tu kama anavyofanya kwa wengine, wewe ulivyombania akaamua kuondoka moja kwa moja!
Big up-gud and wise girl,
He does not fit in your shoes-yani hamuendani.
_Perhaps he was 'cheating' on you to force you into agreeing to bed him..
_All in all this guy is used to 'cheap' ladies and he doesnt know how to treat a real lady..
Advice: Even if he loves you realy, He still has a lot to learn about love and respect. So in the course of your relationship he is going to be a real pain not only in that area but also in others. You can choose to stay with him(if you truly love him) teaching him to abstain like you Or just ignore him and he will grow tired of disturbing you.
NOTE: hata kama unahisi anakuimpress kuna feelings nyingi huchangia hayo. Most of the times its is your heart tricking you....
Na uliza swali moja tu umeisha ona ana sex na wanawake hao au hujaona?Nilikuwa na boyfnd wangu.but kwa baadhi ya vitabia vyake vya kuwa na wasichana wasichana wengi nikaamua kuachana nae.Inshort alikuwa ana nicheat sana tu.
lol..kweli wewe mkalii!ha ha ha, ulikuwa wapi kunipa huu ujanja siku nyingi?
Naanza kupanda za Masaki, nashuka red cross,
napanda za mwenge, nashuka moroco
napanda za Msasani ubungo, nashukia kwetu pale kwa Tumbo.
Na uliza swali moja tu umeisha ona ana sex na wanawake hao au hujaona?
Kama hujaona vipi umemshakia ana cheat, we huoni kama sa zingine wivu ukiuendekeza sana una madhara yake, na moja wapo ni hi point wewe unamshakia mtu ana cheat wakati hujamuona ana sex.
Na kama kweli umemuona anacheat, hapo sasa u have to be really smart, you should never give a him another chance kama kweli ana cheat, because your just gonna keep getting hurt over and over again.
How old ar u ma dia kabla sijakupatia prescriptionNilikuwa na wivu sana tu nae hapo mwanzoni,na nahisi mpaka alikuwa anaboreka na kushangaa.to be honest i was over jelousy kwa kweli ,pia hao wasichana anao cheat nawajua .Ukimuuliza.jibu anajibu Lets break.kilichonikatisha tamaa zaidi,ni type ya text anazotaka kwa phone yake.Just normal text.no lovely text.Pia kuna situation moja ilitokea ilinitoa wivu wote mpaka leo hii.siwez ongelea hapa.