marida
Senior Member
- Oct 27, 2011
- 168
- 20
- Thread starter
-
- #61
Inawezekana anakukumbuka kwa sababu kuna vitu vingine/sifa unazo na anazikosa kwa hao wengine lakini haimaanishi anakupenda huo ni ubinafsi wake tu ili aendelee kujiridhisha.
Haiwezekani ukasema anakupenda wakati anakuumiza kihisia bora ungesema ulimfuma kwa bahati tena na x-wake lakini kila wakati uhusiano/m2 mpya ah, unatumika dada.
Punguza mawasilano, endelea na maisha yako km ana nia ya dhati na huo uhusiano anatakiwa kuomba radhi na kuacha kukuumiza kisaikolojia.
asinikumbuke kwa sababu ana wake sasa.atulie huko aliko.maana kama alinipenda kweli kama wachangiaji walivyosema asingeniacha.thats it.na kukata mawasiliano is a gud idea.thax.