In a deeply dillema..

 

Mkuu naomba kutofautiana na wewe?
Kama thamani ingekuwa inapungua ghafla, wanaume wasiongeoa wanawake waliokwisha wamega.
wanaume wasingejenga kwenye nyumba ndogo maaana wameshawamega na hakuna mpya.

Love is not love, until it is tested!!
How do you test it?
Kulima kwenye lami?????:hand:
 

The new one is just a fnd tu.sijamuaccept bado as a boynd.coz i see huyu wa kwanza bado ananipenda.but cheating tu.
 
The new one is just a fnd tu.sijamuaccept bado as a boynd.coz i see huyu wa kwanza bado ananipenda.but cheating tu.
[h=2][/h]am out of here ukitaka nirudi hapa nitumie maombi kwa PM.:A S-confused1:
 
Haka katoto katawasumbua akili zenu akaeleweki.....................!
 
I DON'T REPLY PM!!PLEASE.ASANTENI KWA MAJIBU YENU.SOME ARE GUD SOME ARE discouraging.BUT I LEARN SOMETHING.
 
The new one is just a fnd tu.sijamuaccept bado as a boynd.coz i see huyu wa kwanza bado ananipenda.but cheating tu.

Marinda if this is the case make him stop cheating you!!!
Yes, you can do that!
 
may be ur da one who is not undestand.

Mi nimemuelewa, sema anazingua tu as jamii forums hatujuani, but ingekuwa tunajuana details, ningempiga bonge la test nimpime hiyo no sex before marriage, maana kuna vijana hapa KPMG wanapenda sana challenge, tungemchukulia marida kama assigments nzito ya kutoka usiku hadi jumapili...

Kwanza angetambulishwa kote anapotaka,

Pili viela vya auditing firms hivi vingmtoa autings na vigift ambavyo hadi mashost wanaona wivu.

At the end angekuja kumegwa katika mazingira ambayo hata yeye asingekataa zaidi ya kujivua kufuli mwenyewe huku anawaza kutegesha mimba ili asikimbiwe, hayo yote yasingezidi 4 months,
By assumptions I think marida is college girl and aged between 20-25 so tumkubalie tu anayosema as haijui practical world ilivyo,
 
Kumbe hakuna kinachowaunganisha so tatizo liko wapi ??

If one plus one=2

IS LOVE=SEX????????:scared:........

I think you want to convise me 1 plus 1=11...
 
Nimejitahidi kufuatilia mada hii kwa umakini sana na michango ya wadau. Nilichogundua ni kwamba Marida bado ana utoto mwingi au hajielewi. Amekuwa na majibu mengi yanayokinzana tena sana.
Mara yuko dilema juu ya wanaume wawili, mara yeye ndo alimuacha huyo bf wake, mara huyo bf wake alimwambia kuhusu kucheat akajibiwa tuachane, mara alishamsahau huyo bf kitambo, mara hawajawahi kufanya sex naye,mara anahisi anapendwa ila tatizo ni kucheatiwa, mara ana mchumba, mara bado hajam accept huyo wa pili, mara anataka wabreak na bf wa mwanzo asijesababisha waachane na mchumba wake. Yaani ningekuwa kwenye pc ningequote yote anayojicontradict, lakini sasa natumia simu.
Duh! A lot of contradictions mpaka sijamuelewa anataka nini! Pole yake maana hajielewi na hajui ana nini na anataka nini.
Ukikuta mtu anakimbilia humu jf na post kama hiyo ujue anatafuta relief tu na hana lolote zaidi ya kujiploud. Zaidi utoto utakuwa unamsumbua sana, akikua ataacha.
 

asante kwa kuwa wewe mkubwa.
 
Umeonaeeee!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…