In A-Town.....

Mkeshahoi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2009
Posts
2,469
Reaction score
284
Any Mwana JF in A-Town plz??!...Kirafiki zaidi! ...:A S-baby::A S-baby::A S-baby::A S-baby:
 
mie nipo a town pia! nitakuwa ****** bar!
 
vp kuhusu players , lafiesta na AQ?
 
njoo makaburini badae jioni
 
teh teh teh naogopa wafu wakiamka watanikata stimu . Lol

Umenikumbusha ile iliyotokea pale kinondoni container
Jamaa wakachukua magongo marefu
Ilipofika mida ya saa 3 na nusu hivi kila mtu kakolea kinywaji jamaa wakaibuka na nyimbo zao
"siye twasota nyie Mwala" X 30
Aisee kila mtu aliijua njia zake na hakuna hata mmoja alikumbuka kuondoka na gari ni mbio za kufa mtu wakiamini wafu wamewafufukia
 
Leo w/end nadhani atakuwa kiwanja cha bugaloo mida ya jioni
nishapata taariha ya kiota hicho...nasikia mbuzi wa pale baaaaaab K.... nitavinjari pale!!Ngoja nitumikie Wadanganyika....OOP..Watanzania!!:smile-big:
 
alafu umenikumbusha kwa tomito pale kuna yule mnama haramu wa ukweli . teh teh teh nimekugongea thanx.
Weh...Hakuna haramu..:nono:. yule ni mbuzi mkubwa.... Nitakuwa siajitendea haki nikipita bila kupata hiyo kitu..!!
 
Ile bar pale metropol inaitwaje vile? ya juu kwa juu............
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…