In A-Town.....

hahahaha...latavenaa sio,kulaaa mfugooo pamokooo
alafu umenikumbusha kwa tomito pale kuna yule mnama haramu wa ukweli . teh teh teh nimekugongea thanx.
 
yeah!babylon pub kiwachaa kizurii..kunaa samakiii wa ukweliii
 
Nitakuwa hapo Amani Njiro baadae leo..muda wa saa kumi na mbili hivi jioni
 
Mambo ni mengi haswa usiku A-town... Wewe unataka BAR ama DISCO??
 
yeah!babylon pub kiwachaa kizurii..kunaa samakiii wa ukweliii
Of cooz nlikuwa hapo jana hadi naiti kali... walivyonza kuingia mateja wa Unga LTd nikaspa....!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…