lakini bado kuna watu watakuambia ni nyerere huyo
ndiyo ameirudisha nyuma mikoa ya kusini na pwani kumbe jamaa wenyewe wamelala usingizi wa kudumu...!
hivyo vyuo vingine vingekuwa ni mabucha ya nyama tungesema wapo wengi...watanzania tuwe wakweli na tuaddress hii issue ya mwamko mdogo wa elimu kwa baadhi ya mikoa...turudi kwenye topic...!Mbona UDOM haina wagogo wengi hutujasema!? Wengine hatupendi tusome maeneo ya Nyumbani:
Hivi MUSLIM UNIVERSITY WAO WANA TAWI LOLOTE ZAIDI YA MOROGORO?KAMA HAWANA WAJIFUNZE HAPA HATUTAKI LAWAMA HAPO BAADAE!
wewe sasa unataka kuchokoza watu...!
Back to topic
kanisa katoliki linapaswa kupongezwa.
kwa hiyo mk.we.re naye atasema tumeendelea kwa sababu rais wa nchi hii ni m.k.we.re? tunachoangalia sisi ni ujumla na siyo mtu mmoja mmoja...!Rais mkapa anatoka kwenu? Benard membe na wasomi pamoja na viongozi wengine akiwemo Nape wenu anatoka kwenu? Hivyo ni viashiria kuwa wasomi wapo na wacheza ngoma wapo. Na kwakudhihisha hili, pamoja mnasema wachaga wanajua pesa na wamesoma lakini nyumbani kwangu house maid wangu ni mchaga wa rombo tena ni wa tatu sasa. Nasema hivi kumaanisha kuwa sio kwamba mkoa ukiendelea basi hakuna waliobaki nyuma.
kwa hiyo mk.we.re naye atasema tumeendelea kwa sababu rais wa nchi hii ni m.k.we.re? tunachoangalia sisi ni ujumla na siyo mtu mmoja mmoja...!
haya bana...!Mnajisifia mna gesi, mafuta, korosho nk, we unadhani vinatoka wapi? Mkiwa kwenye mwezi mtukufu futari ya muhogo inatoka wapi? Maendeleo yao yalikuwa hafifu kwa sababu nyingi just imagine barabara ndo inajengwa mpaka leo hii haijakamilika. Sehemu ya kilomita mia tano ulikuwa unasafiri toka dar kwa siku tatu hadi wiki, maendeleo yangefika vipi? Mwamko wa elimu ungewafikia vipi? Mtwara mika mitano iliyopita ilikuwa hata ukipewa kiwanja bure huchukui, leo nenda kaulize bei. Facts unazotoa ni analysis za kitoto sana mkuu. Hata hivyo lindi kuna uranium mkuu cha muhimu si kuwasema bila kuwapa mwamko na pia iambie serikali yako iwajali wananchi wa kule maana wanaona mali asili yao inavyochukuliwa bila ya wao kufaidika. Tunafaidika na umeme kwa gesi inayotoka kwao na mwishowe tunamalizia kuwakebehi, hiyo inakuwa hakuna tofauti na wanayofanya mabepari wa kizungu kwa Afrika yetu, nasi tunaishia kuwakebehi wenzetu bila kujua nani anatakiwa alaumiwe. Please kuwa na busara katika kuwasema watu wa lindi na mtwara. Mambo ya ****** ni ya ****** na wa mtwara na lindi yanahitaji kuwasukuma wajue wajibu wao katika ulimwengu huu wa soko huria na utandawazi.
haya bana...!
Muslim University haina kitu, sababu hata majengo yenyewe wanayotumia ni ya Tanesco, siku yeyote Tanesco wakitaka majengo yao watabaki stranded, kinachoniboa zaidi walipewa open space tatu muhimu mjini moro (1. kilakala karibu na kwa mringo, 2. Nyuma ya shule ya mchikichini, 3. pale karibu na msamvu).Hivi MUSLIM UNIVERSITY WAO WANA TAWI LOLOTE ZAIDI YA MOROGORO?KAMA HAWANA WAJIFUNZE HAPA HATUTAKI LAWAMA HAPO BAADAE!
Asante kwa kunisemea ni kama vile umejua nilichotaka kuandika,waache waendelee kuichangia radio ImaniHivi MUSLIM UNIVERSITY WAO WANA TAWI LOLOTE ZAIDI YA MOROGORO?KAMA HAWANA WAJIFUNZE HAPA HATUTAKI LAWAMA HAPO BAADAE!
Rais mkapa anatoka kwenu? Benard membe na wasomi pamoja na viongozi wengine akiwemo Nape wenu anatoka kwenu? Hivyo ni viashiria kuwa wasomi wapo na wacheza ngoma wapo. Na kwakudhihisha hili, pamoja mnasema wachaga wanajua pesa na wamesoma lakini nyumbani kwangu house maid wangu ni mchaga wa rombo tena ni wa tatu sasa. Nasema hivi kumaanisha kuwa sio kwamba mkoa ukiendelea basi hakuna waliobaki nyuma.
Sasa St Augustine university of Tanzania ndicho chuo kikuu chenye matawi mengi zaidi kama ifuatavyo:
mtwara,iringa(rucco) bugando(medicine), songea, bukoba, moshi, morogoro mjini na ifakara(medicine)
- Pia ndicho chuo chenye wanafunzi wengi zaidi jumla yao wakifikia 27000 ikifuatiwa na udom 21000.
POINT OF CORRECTION;
Bugando si sehemu ya SAUT tena bali ni chuo kikuu kinachojitegemea. Kinaitwa "Catholic University of Health and Allied Sciences - Bugando" (CUHAS - Bugando)
Kwa maana hiyo Kanisa Katoliki lina vyuo vikuu vuwili sasa nchini: SAUT & CUHAS-Bugando
Acheni kuongelea mambo ya muslim university kwan yanawahusu! Laanakum
Acheni kuongelea mambo ya muslim university kwan yanawahusu! Laanakum
point noted, thanks mkuuPOINT OF CORRECTION;
Bugando si sehemu ya SAUT tena bali ni chuo kikuu kinachojitegemea. Kinaitwa "Catholic University of Health and Allied Sciences - Bugando" (CUHAS - Bugando)
Kwa maana hiyo Kanisa Katoliki lina vyuo vikuu vuwili sasa nchini: SAUT & CUHAS-Bugando