In auguration day of Stella Maris Mtwara University college(STEMMUCO)

Shule ni kwa ajili ya kusoma ili ultimately umma huu wa watz, ufaidike..hizo tambo zenu nyingine za majivuno ya kidini, kikabila na kikanda nikudhihiri tu kuwa watz wengi 'wamesoma' lakini hawajaelimika na hivyo hawawezi kulisaidia taifa. ushahidi upo wazi.
 

umesahau branch ya Tabora
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…