In english

cc_africa

Senior Member
Joined
May 30, 2010
Posts
121
Reaction score
2
Hali zenu wakuu. UKITAKA KUMUULIZA MAMA YAKO MI NIWANGAPI KUZALIWA? KWA KiNGEREZA(OR IN ENGLISH) UTASEMAJE?
 
hivi inakuwaje hadi unamuuliza MAMA YAKO wewe ni wa ngapi kuzaliwa?
 
Acha kuumiza akili yako kwa kutaka kujua zaidi lugha za watu si umeona ilivyorahisi kwa kiswahili? Tuipende na kuidumisha lugha yetu tukufu ya kiswahili. Hii inanikumbusha wakati fulani rafiki yangu Obinwa alijitambulisha kwa mzungu mmoja basi yule mzungu akamwambia "don't you have a christian name like Paul, James because your name is too difficult to pronounce?" Basi jamaa wa yule akamjibu "you know it took me so many years to be able to pronounce English names such as Paul, so you better start learning to pronounce my name properly
 
Hali zenu wakuu. UKITAKA KUMUULIZA MAMA YAKO MI NIWANGAPI KUZALIWA? KWA KiNGEREZA(OR IN ENGLISH) UTASEMAJE?
Stupid question. Ni wangapi kuzaliwa duniani, Tanzania au kwa mama yako? Hivi mama yako amezaa halaiki kiasi cha wewe kushindwa kuhesabu ndugu zako mpaka umuulize mama yako?
 
this is wat i like about JF..... yaaani mtu katoka huko na moshi wake sijui wa bangi aliovuta mwaka gani ndio unaishi ishia anakuja na maswali ya "HAYA MAVI YA KUKU KANYA NANI" ... na kwa kuwa hapa wako GREITI THINKAS" majibu waliyompa starehe tuuuupu.... naona kaka ss utajua kuwa uko mahali ambako ppl they dont intateini makunyanzi. hakyannai hili swali la huyu jamaa limeniacha hoi....hata MR bEaN hawezi kuuliza maswali kama hayo
 
Jamani wakuu ...si ajibiwe tu! Hapa ni pa kujifunza mambo mengi yakiwemo haya madogo na pia makubwa.
 
Kwani mama yake ni Mwingereza? si ajabu mamake hata hicho kiingereza hakijui!
 
Mimi nawapenda watu wenye hekima, wakiuliza suali kama hawajui wanaanza kumtoa kasoro muulizaji, kama hujui mimi nashauri kaa kimya
 
Tatizo lenu m2 akiuliza swali na nyinyi namuliza, sasa nani atajibu hlo swali!! Ni simple 2 kwanini uumize kichwa. Kumjibu 2.au umuongelee maneno ya kashfa!!
 
Baada ya kumtukana muulizaji, mjibuni basi ninyi mnaojua Ung'eng'e! Mwuliza njia zi mjinga jamani.
 
Swali halijibu swali
ila naomba dahili
mama yako mswahili
ama wataka kejeli!??
 
"How many younger (full) siblings do I have?" nadhani ndo itakaribia zaidi.
Full siblings ni brothers and sisters ambao mmezaliwa kwa baba na mama mmoja, so kama kuna complication hiyo unaweza ukaongeza full kuwa more specific.
 
"How many younger (full) siblings do I have?" nadhani ndo itakaribia zaidi. Full siblings ni brothers and sisters ambao mmezaliwa kwa baba na mama mmoja, so kama kuna complication hiyo unaweza ukaongeza full kuwa more specific.

Asante kwa kutoa mwongozo. Lakini naona kama ukiuliza jinsi ulivyopendekeza utapata jibu tofauti na mtoa mada anachotaka.

Kwa kufuata muongozo wako labda ingekuwa hivi "How many older/elder (full) siblings do I have?" Jibu litakalopatikana, muulizaji ataongeza moja ili kujua yeye ni wa ngapi kuzaliwa (i.e. If you have three elder siblings, it means you are fourth in the line).
 
Hahahahahahahahahhaahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa1 lol! Utafikiri ni friday leo!
 
Nadhani inategemea anachotaka kujua si wazi)

Ama (akitaka kujua kuhusu mama mwenyewe): How many older and younger siblings do you have, mother?

AU (akitaka kujua juu yeye yake mwenyewe): How many older siblings do I have ?
 
Hapo nimefahamu. Ila nimeuliza co kwa vibaya, kama baadhi ya watu wengine walivyodhani. Mi nimeulizwa, na nikaamua kuwalizia wenzangu wenye elimu zaidi yangu.
 
Just ask her if you are the eldest of her children. Mom " Am I your eldest child?" jibu atakalokupa litaweza kujulisha u wangapi kuzaliwa
 
Hapo nimefahamu. Ila nimeuliza co kwa vibaya, kama baadhi ya watu wengine walivyodhani. Mi nimeulizwa, na nikaamua kuwalizia wenzangu wenye elimu zaidi yangu.
Na kwa nini umuulize mama yako hivyo? kwani ana watoto wa nje? ama hamuishi nyumba moja? au wewe ni zezeta hujui kuhesabu?
ama kila mzazi ana watoto wake-wa baba na w mama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…